Kipi bora kati ya hivi?

Kipi bora kati ya hivi?

Kurutamjanja

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2013
Posts
396
Reaction score
377
Uambiwe uchague kimoja wapo na ukifanye kwa ufasaha hasa, chakwanza uende ukafanye fujo na kutukana katika kambi ya Jeshi, au upeleke nguruwe msikitini? kipi ni rahisi hapo?
 
Uambiwe uchague kimoja wapo na ukifanye kwa ufasaha hasa, chakwanza uende ukafanye fujo na kutukana katika kambi ya Jeshi, au upeleke nguruwe msikitini? kipi ni rahisi hapo?

bora niende msikitini na kitimoto
 
Jibu ni rahisi tu bora kitimoto ipelekwe msikitini
 
Duh! jeshini? aisee bora niwahi msikitini tena mapeema saa sita na nusu na kakitimoto kangu! lol.. halafu nasingizia nimekuja kusilimu!

Jeshini unaweza ukalishwa mapera mabichi kwa juisi ya pilipili.. wale jamaa sio kabisa!
 
by CleverKING;
Yaani kila kitu lazima muingize Udini tu!!!!




CleverKING unajifanya hauli kitimoto au Unajishaua tuu kwenye Keyboard????
 
Last edited by a moderator:
bora nikatukane wajeda, waisilamu wauwaji unawezapondwa mawe hadi ufe
 
bora kutukana katika kambi ya jeshi

Unajuwa jeshin matusi ni kama lugha ya kawaida na wala siishangai kwa maana nina uzoefu huo nilikuwa kambini na matusi yalikuwa kama wimbo tu ndio maana nasema ni bora matusi kwenye kambi ya jeshi ukitukana unaonekana umeiva jeshini
 
Uambiwe uchague kimoja wapo na ukifanye kwa ufasaha hasa, chakwanza uende ukafanye fujo na kutukana katika kambi ya Jeshi, au upeleke nguruwe msikitini? kipi ni rahisi hapo?

Aisee una bahati mpaka sasa mods hajaiona hii mada. Mda sii mrefu ukiifungua inagoma.... inakuambia invalid topic detected.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom