Kipi bora kati ya AC, feni & Air Cooler?

Kipi bora kati ya AC, feni & Air Cooler?

Full charge

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2018
Posts
1,712
Reaction score
1,661
Habari za siku kuu wa tanzania wenzangu.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,kama tunavyoelewa kadhia ya joto majumbani kwetu ina fika kipindi ina kuwa taabu.

Sasa wadau nawaza kipi bora kununua kwa kati ya hivyo vifaa hapo juu,nimeshindwa kufanya maamuzi yoyote bila kupata ushauri wa wataalamu ukizingatia humu tuna watu mahiri kabisa juu ya haya mambo.

Naombeni ushauri chanya na hasi juu ya vifaa hivi pia kwa kuzingatia afya na usalama wa vifaa hivi
 
Wakuu kwa ambao mnatumia hizi air cooler kama hiyo hapo pichani jee ni suluhisho la joto la dar?Maana kiukweli feni sio suluhisho maana inafika mahali hadi feni inapuliza moto tu

Kwa ambao mshawahi kuzimiliki hizi au mnatumia hizi air cooler jee zipo vizuri maana naskia zina ubaridi unaokaribiana na wa AC

Jee ufanisi wake upoje?Nimechoka na hizi feniView attachment 2466655
Screenshot_20230102-143418.jpg
 
Ac hivi vikorokoro vingine ni kupoteza tu pesa bure,ila kwenye Ac jiandae kwenye umeme ukiwasha 24 hours inakula kuanzia unit 15 za umeme,ukiwasha usiku kuanzia saa mbili inakula unit 7 hadi asubuhi ni wewe tu kiongozi
 
Kama Pesa ipo Jibu ni AC,nikisema pesa ipo simaanishi pesa ya kwenda kuinunua AC

namaanisha pesa ya kuendesha matumizi yatakayoongezwa na hiyo AC hasa ni UMEME, una huo ubavu?

Kama unao basi chukua AC lakini binafsi huwa sipendi option 1,kama mimi ni wewe Pesa ipo Naweka Vyote

Ac nafunga,
Feni Nafunga,
Air Cooler nanunua

Kuna wakati Joto linakua Komesha Nalikomesha na AC

Kuna wakati Joto linakubip tu unajiweza au hujiwezi, Unalipulizia mbali na Feni linakausha.

Kuna wakati umekaa mahali AC wala FENI hamna unabeba tu Air Cooler yako unaenda nayo sehemu unayotaka unakaa nayo eneo lako unafanya kazi yako, Cooler ina Move.

Hivyo Hela kama Ipo kweli Funga vyote na ndio option nzuri ni ionayo.

Si kila joto ni la AC majoto mengine ni ya Kufungua Tu Dirisha joto linapeperuka.

Tutafute pesa tuache kuweka Option Option kazi yetu iwe kuupa mwili temperature unataka.
 
Kama Pesa ipo Jibu ni AC,nikisema pesa ipo simaanishi pesa ya kwenda kuinunua AC

namaanisha pesa ya kuendesha matumizi yatakayoongezwa na hiyo AC hasa ni UMEME, una huo ubavu?

Kama unao basi chukua AC lakini binafsi huwa sipendi option 1,kama mimi ni wewe Pesa ipo Naweka Vyote

Ac nafunga,
Feni Nafunga,
Air Cooler nanunua

Kuna wakati Joto linakua Komesha Nalikomesha na AC

Kuna wakati Joto linakubip tu unajiweza au hujiwezi, Unalipulizia mbali na Feni linakausha.

Kuna wakati umekaa mahali AC wala FENI hamna unabeba tu Air Cooler yako unaenda nayo sehemu unayotaka unakaa nayo eneo lako unafanya kazi yako, Cooler ina Move.

Hivyo Hela kama Ipo kweli Funga vyote na ndio option nzuri ni ionayo.

Si kila joto ni la AC majoto mengine ni ya Kufungua Tu Dirisha joto linapeperuka.

Tutafute pesa tuache kuweka Option Option kazi yetu iwe kuupa mwili temperature unataka.
. controller bana , umetisha kwamba mwili upewe starehe inayotakiwa
 
Kama Pesa ipo Jibu ni AC,nikisema pesa ipo simaanishi pesa ya kwenda kuinunua AC

namaanisha pesa ya kuendesha matumizi yatakayoongezwa na hiyo AC hasa ni UMEME, una huo ubavu?

Kama unao basi chukua AC lakini binafsi huwa sipendi option 1,kama mimi ni wewe Pesa ipo Naweka Vyote

Ac nafunga,
Feni Nafunga,
Air Cooler nanunua

Kuna wakati Joto linakua Komesha Nalikomesha na AC

Kuna wakati Joto linakubip tu unajiweza au hujiwezi, Unalipulizia mbali na Feni linakausha.

Kuna wakati umekaa mahali AC wala FENI hamna unabeba tu Air Cooler yako unaenda nayo sehemu unayotaka unakaa nayo eneo lako unafanya kazi yako, Cooler ina Move.

Hivyo Hela kama Ipo kweli Funga vyote na ndio option nzuri ni ionayo.

Si kila joto ni la AC majoto mengine ni ya Kufungua Tu Dirisha joto linapeperuka.

Tutafute pesa tuache kuweka Option Option kazi yetu iwe kuupa mwili temperature unataka.
Boss umeua
 
Kama nyumba ni yako Funga AC mkuu , kama unapanga nunua Hivyo viwili kwa pamoja
 
Najua kila mtu atasema AC lazima uwe na pesa. Ila ukipata AC ya 9000 BTU ina matumizi ya umeme wa wastani tu. Au kama upo serious zaidi weka sola ili iendeshe AC
 
Back
Top Bottom