Kipenzi Changu Gazeti La Rai

AG

Member
Jun 11, 2007
82
55
Kipenzi changu gazeti la rai, nimekukosea nini? Kiboko cha makala zilizo jaa ukosoaji, leo umejikunyata mkia, vipi? Rai ya Jenerali Ulimwengu, Rai ya Johnson Mbwambo Kidee, kulikoni siku hizi mbona umekengeuka njia? Yaani gazeti limekosa ridhim kabisa, ama kweli hujafa hujaumbika. Nisaidieni; kipenzi changu kala sumu gani? Hizi hoja motomoto rai wewe unazipoza; ahh my friend what is wrong?
 
Beat_Dead_Horse.jpg
 
Baada ya kukubali kuuza hisa kwa Mu Iran na kupokea mshiko wa pembeni kila baada ya muda na hata kuahidiwa mazuri lazima mtu mzima mwenye akili zake awe mwendawazimu na kupotosha ukweli .Lakini Rai inakufa na kunazaliwa mengine yenye nguvu kama MwanaHalisi,Tanzania Daima na linakuja gazeti la Raia Mwema.
 
Baada ya kukubali kuuza hisa kwa Mu Iran na kupokea mshiko wa pembeni kila baada ya muda na hata kuahidiwa mazuri lazima mtu mzima mwenye akili zake awe mwendawazimu na kupotosha ukweli .Lakini Rai inakufa na kunazaliwa mengine yenye nguvu kama MwanaHalisi,Tanzania Daima na linakuja gazeti la Raia Mwema.

Nadhani its time watu waka move on na kuachana na Print media za Tanzania

sunderlandgmecl1.png
 
.Lakini Rai inakufa na kunazaliwa mengine yenye nguvu kama MwanaHalisi,Tanzania Daima na linakuja gazeti la Raia Mwema.

Hivi Tanzania Daima lina tofauti na RAI?

Ni sawa kuhusu Mwanahalisi na pia mwananchi pamoja na magazeti mengine kama thisday lakini Tanzania Daima hawana tofauti na RAI.

Gazeti likimilikiwa na wanasiasa usitegemee ukweli kutoka gazeti kama hilo.
 
Raia mwema litakuwa lini mitaani na ninani wamiliki?Natafuta partner wakuanzisha naye gazeti huko nyumbani Tanzania,gazeti litakalo kuwa huru na kichocheo cha kuiletea maendeleo nchi yetu.Mtu yeyote ambaye atapenda kushirikiana katika biasha hii anijibu kupitia forum halafu baadaye tatafutane
 
Yule Hidaya vepevepe
Kipenzi changu gazeti la rai, nimekukosea nini? Kiboko cha makala zilizo jaa ukosoaji, leo umejikunyata mkia, vipi? Rai ya Jenerali Ulimwengu, Rai ya Johnson Mbwambo Kidee, kulikoni siku hizi mbona umekengeuka njia? Yaani gazeti limekosa ridhim kabisa, ama kweli hujafa hujaumbika. Nisaidieni; kipenzi changu kala sumu gani? Hizi hoja motomoto rai wewe unazipoza; ahh my friend what is wrong?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom