Kipengele cha 'DINI' ktk vitambulisho vya taifa

Kipengele cha 'DINI' ktk vitambulisho vya taifa

Opaque

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2008
Posts
1,359
Reaction score
727
Baada ya sheikh Ponda kuwashawishi wajinga wachache kugomea sensa kwa kigezo cha kutokuwapo kipengele cha dini katika madodoso ya sensa, sasa macho na masikio yanaelekezwa katika zoezi la vitambulisho vya taifa.

Swali la kujiuliza; je, Ponda (kama kweli ni raia wa Tz na anastahili kupewa ID) na wengine wenye msimamo mkali wa dini ya kiisilamu, watagomea kupokea vitambulisho vya taifa hadi kipepengele cha dini kijumuishwe?
 
Mkuu OPAQUE sometimes inabidi uwe Transparent,uruhusu ubongo uruhusu idea nyingine ziingie! Ponda hakugomea sensa kwasababu amependa,hoja yake kuu ilikuwa ni kuondoa utata wa kitakwimu uliochapishwa na vyanzo mbalimbali kalingana na dini za watanzania.Sasa vitambulisho vya taifa vinahusikaje na ile hoja yake ya kwanza aliyoisimamia?
 
Baada ya sheikh Ponda kuwashawishi wajinga wachache kugomea sensa kwa kigezo cha kutokuwapo kipengele cha dini katika madodoso ya sensa, sasa macho na masikio yanaelekezwa katika zoezi la vitambulisho vya taifa. Swali la kujiuliza; je, Ponda (kama kweli ni raia wa Tz na anastahili kupewa ID) na wengine wenye msimamo mkali wa dini ya kiisilamu, watagomea kupokea vitambulisho vya taifa hadi kipepengele cha dini kijumuishwe?
utakuwa unaumwa, sensa na vitambulisho wapi na wapi, mlijitangazia mko wengi cha ajabu mnapinga vikali kipengele hicho kwa sababu kingewaumbua sasa hivi mnaleta mada za kiabunuasi kuua soo. ninyi kweli mmeishiwa hamna lolote. tangazeni tena mko wengi kuliko wapagani ila kwa waislamu mmenoa.
 
Mleta Mada hajui sifa ya mjinga ni yule anaeleta Mada bila ya Kufanya utafiti na kujaza kebehi na kejeli kwa wanaojadiliwa badala ya dondoo (contents).Hakuna shrti lililowekwa humu JF kuwa ili uwe member lazima UANZISHE THREAD unaweza kuonekana even kwa kuchangia hoja za wenzio.
 
Baada ya sheikh Ponda kuwashawishi wajinga wachache kugomea sensa kwa kigezo cha kutokuwapo kipengele cha dini katika madodoso ya sensa, sasa macho na masikio yanaelekezwa katika zoezi la vitambulisho vya taifa. Swali la kujiuliza; je, Ponda (kama kweli ni raia wa Tz na anastahili kupewa ID) na wengine wenye msimamo mkali wa dini ya kiisilamu, watagomea kupokea vitambulisho vya taifa hadi kipepengele cha dini kijumuishwe?
Mjinga ni wewe uloshindwa kuelewa umuhimu na maana ya sensa. Kipengele cha dini ktk kitambulisho hakina maana yoyote kwetu wala wewe kwa sababu kitambulisho hakilengi kupeleka maendeleo kwa wananchi. Maadam nchi yetu haina dini msitake kutuaminisha kwamba hata watu wake hawana dini - tunazo na tuhesabiwe.
 
Baada ya sheikh Ponda kuwashawishi wajinga wachache kugomea sensa kwa kigezo cha kutokuwapo kipengele cha dini katika madodoso ya sensa, sasa macho na masikio yanaelekezwa katika zoezi la vitambulisho vya taifa. Swali la kujiuliza; je, Ponda (kama kweli ni raia wa Tz na anastahili kupewa ID) na wengine wenye msimamo mkali wa dini ya kiisilamu, watagomea kupokea vitambulisho vya taifa hadi kipepengele cha dini kijumuishwe?


ponda sio mpumbavu kiasi hicho eti kuwe na kipengele cha dini kweneye kitambulisho cha taifa! .. nadhani haya ni maoni ya na shati lako ulilovaa sasa hivi..

 
Poor minded always discuss people. Wingi wa dini fulani na uchache utakusaidia nini kwenye mlo wako wa kila siku? Au wingi ndo kwenda peponi? Na hizo takwimu kama zilitolewa zilitokana na sensa? Kwa nini na waisilamu wasitumie namna ya kuhesabiana. malumbano ya simba na yanga ni uendawazimu. na nasema huyo ponda ni kichaa kati ya vichaa wanomsapoti. anawapelaka kuzimu.
 
utakuwa unaumwa, sensa na vitambulisho wapi na wapi, mlijitangazia mko wengi cha ajabu mnapinga vikali kipengele hicho kwa sababu kingewaumbua sasa hivi mnaleta mada za kiabunuasi kuua soo. ninyi kweli mmeishiwa hamna lolote. tangazeni tena mko wengi kuliko wapagani ila kwa waislamu mmenoa.
na nyie mlishindwa nini kujitangazia mko wengi hadi muing'ang'anie serikali,mnapenda vya dezo sana nyie
 
Kwa nnavyofahamu akili za ponda lazima atawashawishi tu waislamu kugomea vitambulisho
 
Mimi naamini watu wenye mawazo na fikra za kuona mbali na wakti wote kuondokana na ile tarbia ya kuhisi jambo bali wanataka reality kila wakti kama Ponda kama watapatikana arobaini tu basi wa Tanganyika mtavuka huo umasikini mlionao. Kumbukeni waTz sio masikini wa mali bali wengi wenu ni masikini wa Akili.

Nia ya Ponda ni kuweka kipengele cha DINI katika dodosp lenu ili.
1. Kujua idadi ya waumini wa kila dini iliyopo Tanzania.
2. Kujua idadi ya dini walizonazo wananchi wa Tz.

Kwani mambo hayo kila siku yanabandikwa kwenye vivutio vyenu vyote vya watalii na hata wawekezaji kuja nchini kwenu.

Labda mjiulize katika dodoso lenu kuna hata idadi ya mifugo na suala la ilmu ilhali kuna wanataka kujua wanaojua kusoma na kuandika kimombo na kiswahili. Je mambo kama haya yana msingi gani ukilinganisha na kujua idadiya dini na waumini wake?

Ndio maana wengi tunasema wanaompinga Ponda ni wale wenye akili za ku copy na ku peste. Boingolala
 
wakiweka kipengele cha dini ,waweke pia kipengele cha “ Yanga au Simba + bia au soda?”
 
Mnatukela mno na hizo dini zenu imported zungumzia mambo ya kujenga nchi ambayo ni masikini ya kutupwa, hao wajanja walituletea mambo yakutuvuruga tu.
Angalia watu wanauana ovyo kisa eti wanatofautiana kiimani kinadhalia dini hizo zinaubiri upendo na amani lakini matendo ni kinyume na maubiri.
Huku zilikotokea dini hizo wametulia wanatuangalia wanatucheka na kutuchochea tumalizane wenyewe kwa wenyewe.
Heri yao walioamua kujitenga na propaganda za kigeni.
 
ponda ni mjinga...



ponda sio mpumbavu kiasi hicho eti kuwe na kipengele cha dini kweneye kitambulisho cha taifa! .. nadhani haya ni maoni ya na shati lako ulilovaa sasa hivi..

 
Mimi naamini watu wenye mawazo na fikra za kuona mbali na wakti wote kuondokana na ile tarbia ya kuhisi jambo bali wanataka reality kila wakti kama Ponda kama watapatikana arobaini tu basi wa Tanganyika mtavuka huo umasikini mlionao. Kumbukeni waTz sio masikini wa mali bali wengi wenu ni masikini wa Akili.

Nia ya Ponda ni kuweka kipengele cha DINI katika dodosp lenu ili.
1. Kujua idadi ya waumini wa kila dini iliyopo Tanzania.
2. Kujua idadi ya dini walizonazo wananchi wa Tz.

Kwani mambo hayo kila siku yanabandikwa kwenye vivutio vyenu vyote vya watalii na hata wawekezaji kuja nchini kwenu.

Labda mjiulize katika dodoso lenu kuna hata idadi ya mifugo na suala la ilmu ilhali kuna wanataka kujua wanaojua kusoma na kuandika kimombo na kiswahili. Je mambo kama haya yana msingi gani ukilinganisha na kujua idadiya dini na waumini wake?

Ndio maana wengi tunasema wanaompinga Ponda ni wale wenye akili za ku copy na ku peste. Boingolala

maskini waislamu,kwani mkiwa wengi mnataka mfanyeje,mlivyochoka hata kujihesabu hamuwezi hadi serikali iwasaidie,mnackiliza huyo ponda uwezo wake wa kufikiri ukoje,achaneni na mambo ya ajabu cyo lazima serikali iwahesabu,ndo matatizo ya kutumia akili ya uji na ubwabwa.Tangazeni mko asilimia 90 na hamna mkristu atawafuatilia,kuna tofauti kubwa sana kati Ponda na Paulo so acheni kulialia
 
Sasa hapa inaonesha wewe ndio unaumwa maana kama wao walitangazia wako wengi na sio kweli kwa nini msiwapuuze! Au nanyie mjitangaze mko wengi!

utakuwa unaumwa, sensa na vitambulisho wapi na wapi, mlijitangazia mko wengi cha ajabu mnapinga vikali kipengele hicho kwa sababu kingewaumbua sasa hivi mnaleta mada za kiabunuasi kuua soo. ninyi kweli mmeishiwa hamna lolote. tangazeni tena mko wengi kuliko wapagani ila kwa waislamu mmenoa.
 
Ponda lazima ashawishi watu wagome, maana hana uelewa wowote!




ponda sio mpumbavu kiasi hicho eti kuwe na kipengele cha dini kweneye kitambulisho cha taifa! .. nadhani haya ni maoni ya na shati lako ulilovaa sasa hivi..

 
utakuwa unaumwa, sensa na vitambulisho wapi na wapi, mlijitangazia mko wengi cha ajabu mnapinga vikali kipengele hicho kwa sababu kingewaumbua sasa hivi mnaleta mada za kiabunuasi kuua soo. ninyi kweli mmeishiwa hamna lolote. tangazeni tena mko wengi kuliko wapagani ila kwa waislamu mmenoa.

Haya bwana basi ninyi waisilamu ni wengi! Mm sioni kuwa waislamu/wakristo mkiambiwa mko wengi effect yake ni nini? Kwa hiyo huo wingi ndo unakuondolea amani? mambo mengine hayana mashiko kabisa cjui watu mnatumia masaburi hiyo nayo ni topic ya kubishaniwa? Mm ningekuwa mkurugenzi wa TBC ningewambia watangazaji waimbe na siyo kutangaza tu kuwa waislamu ni wengi
 
Back
Top Bottom