Kipenda roho hula nyama mbichi...

Kipenda roho hula nyama mbichi...

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
18,204
Reaction score
17,560
Samahan naomba nimwashauri wadogozangu ambao hamjaolewa humu

Najua nimesema msitafute sana ma handsome na uzazi nimeshamaliza na sipo hapa kumsema mtoto wa mtu

Lakini napata shida sana na vijana wa wasafi

Maana hizo sura tu jamani sijui hata unawezaje kumkiss

Majamaa wakicheka kama wanalia wakilia kama wanacheka hata huelewi kipi ni kipi

Namsifu Wolper kwakweli... sio KWA zile sura jamaa... Kuna sura utavumilia lkn sio za vijana wa WASAFI

Kama haujawahi kukutana na WASAFI LIVE utaona kama nakutania Au na-hate

Kweli Kipenda roho hula nyama mbichi ila nyama za wasafi ni za kuzikimbiaa

Yelooowi embu nikae kimya miee Mungu ananiooonaa

 
Samahan naomba nimwashauri wadogozangu ambao hamjaolewa humu

Najua nimesema msitafute sana ma handsome na uzazi nimeshamaliza na sipo hapa kumsema toto wa mtu

Lakini napata shida sana na vijana wa wasafi

Hivi kweli mtu anamdatije - anaingiaje kwenye mahusiano na Harmorapa?! Au Harmonise? !

Maana hizo sura tu jamani sijui hata unawezaje kumkiss

Kuna siku alikujaga bodyguard wa Mondi ofisini kwetu na dogo m1 wa wasafi nilichokaa sana nimekubali mwarabu mweusi yeye kaoa ila reception yake baba doh sasa huyo dogo aliekuja nae ndio utatamani ucheke sijui ulie

Sura pua mdomo meno havina ushirikiano akicheka kama analia kwani hawa madogo wametokea kuzimu Au hapa duniani mbonaaaa?!

Namsifu Wolper kwakweli... sio KWA zile sura jamaa... Kuna sura utavumilia lkn sio za vijana wa WASAFI

Kama haujawahi kukutana na WASAFI LIVE utaona kama nakutania Au na-hate

Kweli Kipenda roho hula nyama mbichi ila nyama za wasafi ni za kuzikimbiaa

Yelooowi embu nikae kimya miee Mungu ananiooonaa

Naona leo umetuamulia wenye sura chungu
 
Mbona nyapu (kipochi manyoya) kina sura mbaya ila tunakipa heshima yake?

Vumilieni sura zetu kama tunavyovumilia ving'amuzi vyenu.
 
Samahan naomba nimwashauri wadogozangu ambao hamjaolewa humu

Najua nimesema msitafute sana ma handsome na uzazi nimeshamaliza na sipo hapa kumsema toto wa mtu

Lakini napata shida sana na vijana wa wasafi

Hivi kweli mtu anamdatije - anaingiaje kwenye mahusiano na Harmorapa?! Au Harmonise? !

Maana hizo sura tu jamani sijui hata unawezaje kumkiss

Kuna siku alikujaga bodyguard wa Mondi ofisini kwetu na dogo m1 wa wasafi nilichokaa sana nimekubali mwarabu mweusi yeye kaoa ila reception yake baba doh sasa huyo dogo aliekuja nae ndio utatamani ucheke sijui ulie

Sura pua mdomo meno havina ushirikiano akicheka kama analia kwani hawa madogo wametokea kuzimu Au hapa duniani mbonaaaa?!

Namsifu Wolper kwakweli... sio KWA zile sura jamaa... Kuna sura utavumilia lkn sio za vijana wa WASAFI

Kama haujawahi kukutana na WASAFI LIVE utaona kama nakutania Au na-hate

Kweli Kipenda roho hula nyama mbichi ila nyama za wasafi ni za kuzikimbiaa

Yelooowi embu nikae kimya miee Mungu ananiooonaa


We shauri Yako. Atatokea tu kwenye uzao wako hata kwa mjukuu. Haya mambo yaache tu na usimcheke MTU.
 
Umegusia jambo la msingi.
Kuna yule jamaa wanamwita Sheta, sura yake huwa kama analia na kucheka kwa wakati mmoja. Halafu mdomoni utafikiri ametafuna meno yake mwenyewe. Na macho yake ni kama ndubwi mwendokasi. Wanawake mnavumilia mengi sana aisee!
 
Mbona nyapu (kipochi manyoya) kina sura mbaya ila tunakipa heshima yake?

Vumilieni sura zetu kama tunavyovumilia ving'amuzi vyenu.
Hahaha kama tunavyovumilia mipunda na bamia zenu ee?!
 
Mm naona sura sio kivile ila mwanaume akiwa na pesa na tango la maana inapendeza zaidi.
Sio kwa sura za vijana wa wasafi
Unaweza ukaghairi hata pesa zao ukawasusia
 
We shauri Yako. Atatokea tu kwenye uzao wako hata kwa mjukuu. Haya mambo yaache tu na usimcheke MTU.
Shindwa maneno yako kwa damu ya Pasaka ambaye ni Yes Kristo wa Nazareth.. Amen. Haitakaa itokee kwa jina last Yes Kristo wa Nazareth Amen.

Hakuna niliemcheka
Kama una sura mbaya ukisema Sio dhambi hata wenye sura nzuri kwenye biblia walisifiwa mbonaa
 
Umegusia jambo la msingi.
Kuna yule jamaa wanamwita Sheta, sura yake huwa kama analia na kucheka kwa wakati mmoja. Halafu mdomoni utafikiri ametafuna meno yake mwenyewe. Na macho yake ni kama ndubwi mwendokasi. Wanawake mnavumilia mengi sana aisee!
Hahahahahha bora umenisaidia
Wale vijana buana sijui wamefukuliwa misukule au?! Hata sielewi kiru!
 
NYAMA MBICHI ukiitia ndimu, chumvi na WASSABI = unapata SUSHI.

Mmmmm, yam-yam.

Hujui wanaopenda wanafuata muonjo gani.

Wa nyama mbichi au
Wa ndimu, chumvi na wassabi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom