McRiyckeel
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 2,127
- 12,635
utaskia MWANAUME MASHINE Money Penny
PoaAya sister
Doh povuNYAMA MBICHI ukiitia ndimu, chumvi na WASSABI = unapata SUSHI.
Mmmmm, yam-yam.
Hujui wanaopenda wanafuata muonjo gani.
Wa nyama mbichi au
Wa ndimu, chumvi na wassabi.
Unakosoaje labdaNaona mamy Leo umeamua kuukosoa uuambaji wa mungu..
HahaHahahah dsm raha sana
chumvi au damu ahahahaWanakula na chumvi wenzako, wanakula wamevumba macho
😀😀😀😀😀😀Umegusia jambo la msingi.
Kuna yule jamaa wanamwita Sheta, sura yake huwa kama analia na kucheka kwa wakati mmoja. Halafu mdomoni utafikiri ametafuna meno yake mwenyewe. Na macho yake ni kama ndubwi mwendokasi. Wanawake mnavumilia mengi sana aisee!
Nawaona nawaonaa"Sura pua mdomo meno havina ushirikiano akicheka kama analia kwani hawa madogo wametokea kuzimu Au hapa duniani mbonaaaa?!"
aisee wenye sura chachu kazi tunayo
Umekubali ee sasA na wewe unachekaa😀😀😀😀😀😀
dadeki!!!
SauwaWewe mwenywe una umbo kama roobot hueleweki nyuma na mbele Sawa alafu unakuja kukosoa wanaume hapa, mwanaume sio sura mwanaume mashine.
Sawa mama kwahiyo?!Mmh sio kwa ukosoaji huo!..lakin hawakujiumba wao...dunia pia huumba ndo maan waswahil husema hujafa hujaumbika
Kwakweli wana moyooo hao madada dohhahahahah! kwli wana sura mbaya ila wanachunikandio maana akina wema, wolper na aunt ezekiel wametulia.
Kumbuka hujafa hujaumbika, maana ulichoandika Ni kumkosoa aliyekuumbaSamahan naomba nimwashauri wadogozangu ambao hamjaolewa humu
Najua nimesema msitafute sana ma handsome na uzazi nimeshamaliza na sipo hapa kumsema toto wa mtu
Lakini napata shida sana na vijana wa wasafi
Hivi kweli mtu anamdatije - anaingiaje kwenye mahusiano na Harmorapa?! Au Harmonise? !
Maana hizo sura tu jamani sijui hata unawezaje kumkiss
Kuna siku alikujaga bodyguard wa Mondi ofisini kwetu na dogo m1 wa wasafi nilichokaa sana nimekubali mwarabu mweusi yeye kaoa ila reception yake baba doh sasa huyo dogo aliekuja nae ndio utatamani ucheke sijui ulie
Sura pua mdomo meno havina ushirikiano akicheka kama analia kwani hawa madogo wametokea kuzimu Au hapa duniani mbonaaaa?!
Namsifu Wolper kwakweli... sio KWA zile sura jamaa... Kuna sura utavumilia lkn sio za vijana wa WASAFI
Kama haujawahi kukutana na WASAFI LIVE utaona kama nakutania Au na-hate
Kweli Kipenda roho hula nyama mbichi ila nyama za wasafi ni za kuzikimbiaa
Yelooowi embu nikae kimya miee Mungu ananiooonaa
Wewe ndio umenichekesha Bro