Kipaumbele cha serikali yetu ni kipi?

Kipaumbele cha serikali yetu ni kipi?

Major

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2007
Posts
1,865
Reaction score
2,453
Tangu mwezi wa 11 mwaka Jana, Serikali ilituambia kuwa kipaumbele chake cha kwanza ni viwanda. Leo ni mwaka unaelekea kuisha, sioni hata dalili ya hicho kiwanda.sasa hivi wamekuja tena na mpya. Mnaniambia ni kuhamia Dodoma. As I know fedha za kuhamia Dodoma ni nyingi kuliko ambazo zinahitajika kufufua viwanda vyetu.

Hali za maisha za watu mitaani ni mbaya sana. Mzunguko wa pesa ni mdogo haijawahi kutokea tangu Mwinyi. Ni dhahiri kuwa wananchi hawana furaha kabisa. Kila mtu analalamika. Tajiri analalamika. Masikini ndiyo kabisa anahisi bora asingezaliwa.

Nataka kujua seriously. Nini hasa kipaumbele chenu?. Kesho hatujui mtatuambia kituko gani tena kipya. Mimi nafikiri mngetekeleza kwanza la viwanda halafu hayo mengine yaje taratibu. Hatuna haraka ya kuhama kiasi hiki, Serikali kuweni na huruma na mnaowangoza. Rekebisheni kwanza hali zao za uchumi. Hali zao ni mbaya mno huko mitaani.
 
Nunua macounter book uandike kila kinachosemwa ili 2020, uangalie Kuna mangapi yametekelezwa kukubwa muda utaongea, maana jamaa kila akuchuja kidogo anakuja na ahadi mpya lakini namkumbusha ajiandae kuomba kura kwa meno
 
Kuna kanuni moja ya mainjinia inasema "measure twice cut once" nazan angeitumia ingemsaidia
 
The government is extremely disorganised. It has no clear goals and means to achieve them.
 
Serikali nguvu ya soda. Mbwembwe nyingi hakuna utekelezaji.
Wamewekeza kuwanyamazisha wapinzani ili wasikosolewe. Bajeti ilikuwa utumbo na hao wabunge vila.za waliipitisha kwa mbwembwe.
Sasa hivi serikali haina fedha, ndo maana tunasikia misaada na mikopo kila siku. Mara South Korea, China, USA.
Hao mawaziri ni kama cheeleaders. Kushangilia kila anachosema badala ya kumpa ushauri pale anapokosea.
Sasa hivi tupo kwenye wimbo wa kuhamia dodoma, kabla haujaisha vizuri utaanzishwa wimbo mpya.
Wanataka tufuate sheria lakini wao ni wa kwanza kuzivunja.
 
Tangu mwezi wa 11 mwaka Jana, Serikali ilituambia kuwa kipaumbele chake cha kwanza ni viwanda. Leo ni mwaka unaelekea kuisha, sioni hata dalili ya hicho kiwanda.sasa hivi wamekuja tena na mpya. Mnaniambia ni kuhamia Dodoma. As I know fedha za kuhamia Dodoma ni nyingi kuliko ambazo zinahitajika kufufua viwanda vyetu.

Hali za maisha za watu mitaani ni mbaya sana. Mzunguko wa pesa ni mdogo haijawahi kutokea tangu Mwinyi. Ni dhahiri kuwa wananchi hawana furaha kabisa. Kila mtu analalamika. Tajiri analalamika. Masikini ndiyo kabisa anahisi bora asingezaliwa.

Nataka kujua seriously. Nini hasa kipaumbele chenu?. Kesho hatujui mtatuambia kituko gani tena kipya. Mimi nafikiri mngetekeleza kwanza la viwanda halafu hayo mengine yaje taratibu. Hatuna haraka ya kuhama kiasi hiki, Serikali kuweni na huruma na mnaowangoza. Rekebisheni kwanza hali zao za uchumi. Hali zao ni mbaya mno huko mitaani.
Wachache tunakuelewa, wajinga watakubeza na matusi kibao. Hii nchi ukitoa mawazo mmbadala unaone kama unampinga mheshimiwa na unaweza kupakaziwa kesi za uchochezi mitandaoni, tunaishi kwa neema tu za Muumba, huwezi jua kesho jua likichomoza watawala watatoa tamko gani? hakuna vision wala focus.
 
Kwa serikali iliyopo mdarakani kwa sasa imetoa maagizo mengi tu. Kwa mfano la kuhamia Dom toka Dar na kutekeleza maamzi ya muda mrefu ya kuwa makao makuu ya nchi. Maamuzi yalipitishwa awamu ya kwanza ya uongozi wa mwl. J.K.Nyerere mhasisi wa taifa hili. Wengi wameuliza kwa bajeti ipi itatumika? Wakati ya kikao cha bajeti hatusikia juu ya jambo hilo ya kwamba ifikapo 2020 serikali iwe Dom. Je utekelezaji wake upo kweli? Au kudanganya watanzania?
 
Viwanda tumeshaanza kufufua
1469701335165.jpg
 
Nunua macounter book uandike kila kinachosemwa ili 2020, uangalie Kuna mangapi yametekelezwa kukubwa muda utaongea, maana jamaa kila akuchuja kidogo anakuja na ahadi mpya lakini namkumbusha ajiandae kuomba kura kwa meno
Point yako muhimu. Kuna haja ya kunukuu matamshi/maazimio na maelekezo ya sirikali ili hapo mbeleni tufanye reference kama ilikuwa furahisha umati au la.
 
#hapakoditu ....#hapakazitu ....hivi ni kipi inabdi kianze kabla ya kingine!?
 
kipaumbele kikubwa ni hakuna kufanya mikutano ya kisiasa hadi 2020
 
Siku hizi wanafanya mambo kwa sifa, haijulikani wanasimamia lipi
 
Mizukaaaa timeee! kwanza wakija mtaani kurekebisha bei ya sukari hapo ntaanza kuwaelewa wanataka kufanya jambo gani vinginevyo kwangu maigizo tu
 
Back
Top Bottom