Wataalamu Wa Kikoloni Walisema "UKITAKA KUMTAWALA MTI, BASI MNYIME ELIMU"
Hatari Ya Kumtawala Mtu Halafu Ukampa Elimu Ndiyo inayojitokeza Leo Hapa Nchini, Chama Cha Kijani Kina Hofu Ya Kuwaacha Vijana Wapate Elimu Wakaja Wakajitokeza Maelfu Ya Tundu Lissu Hapo Baadae.
Kwani Tundu Lissu Mmoja Tu Huyu Aliyepo Angelinyimwa Elimu Hapo Awali, Basi Asingiliwapa tabu Kama Hizi Anazowapa Sasa.
Je Leo Iwapo Vijana 100,000 Watakamilisha "Masters Digree" Zao unafikiria Chama Kijani cha Elimi ya Mwendo Kasi Kitakuwa Katika Hali gani??
Kutokana Na Hilo, Serikali Ya Mr Self decision Anaangamiza Elimu Kwa Makusudi ili vijana wote wawe na Mawazo ya Kama wale wa Lumumba Kwa Pretex mbali mbali ambazo hata hazitiliki Akilini.
Wewe Angalia tu Vijana 7000 waliotimuliwa UDOM wanajenga Picha gani iwapo Wangegraduate Na Kusambazwa Mashuleni???
Ni Wazi Kuwa Chama Cha Kijani Kinauwa elimu Kwa Kusudi ikiwa ni mmoja ya Mkakati wao Kuandaa Vijana Wajinga iwatawale.
Angalia Mfano huu wa Wajinga Wanavyokuwa:-
Inapotokezea Mkurugenzi wa taasisi Fulani Ya Serikali Kukamatwa Kwa Ufisadi Wa Mabillions huku Akihusishwa Kupokea Mishahara Hewa 17, Basi Wajinga Hufurahi Na Kummwagia Sifa Mr Magu Na Kuanza Kuwabeza Wapinzani!!
Lakini Kutokana na Ujinga Wao Wanashindwa Kujiuliza Je Baada Ya Kukamatwa Kwake Kimeendelea Nini??
Mbona Bado Yupo Kitaa, Anamiliki Private Schools Zake Kama Kawaida, Hana Mashtaka Aliyofunhuliwa, Hakuna Kilichotaifishwa, Hakuna Uchunguzi Halali Unaofanywa Juu Yake! bali ni Sifa Na Promo za Kidikteta tu.