Maelezo ya kuosha= kutosha.Wadau nmepangiwa kaz Kilwa-Kipatimu Shule ya msingi Nasaya,,,,,
Naomba maelez ya kuosha kuhusu eneo husika
1-Kodi ya nyumba
2-Umbali na usafir kutokea mkuranga
3-Huduma za kijamii n.k
home sweet home...Wee cheka tuuu
Ngoja aje huyuu Mr Miller atakupa majibu mubasharaaNipe taarifa ndgu
hiki kicheko nna mashaka nacho babe...kipatimu
Babe jamaniiyou know I love kipatimu Mimi...hahhaahhiki kicheko nna mashaka nacho babe...
kipatimu kule porini eeehBabe jamaniiyou know I love kipatimu Mimi...hahhaah
Eee babe tulipanga kwenda mwezi wa 8,..umesahau?!kipatimu kule porini eeeh
nakumbuka sana babe ila naona kama tuPostpone tuEee babe tulipanga kwenda mwezi wa 8,..umesahau?!
Tulikuwa tunawinda,.Nmewakumbusha porini tena hahahahaha nyie watu mlikuwa mnafany nini
aiseee ni pazuri kwa utalii kule,Ni sheeeda inaelekea wadau ama vipi????
Kwann babe,mbona ghafla tena...?!nakumbuka sana babe ila naona kama tuPostpone tu