kipanya

Serikali imeanza kujenga miundombinu kwenda kwa Babu. Subiri Hotuba ya Ya mwezi ya Mkuu wa Kaya
 
ha ha ha ha ha ha ha ha big up masoud!! kwa hii nadhani watakutafuta kwani hawapendi kuambiwa ukweli
 
Hahahahahhahhhhhh!! Serikali hii imewachoka wananchi wake.. :ballchain:
 
Kama kuongoza ni rahisi hivyo hata mimi nawezaq kuwa Rais na miaka yangu hii hii niliyonayo.Wanaweza kusema hata wao ndio waliomuotesha Babu hiyo dawa......subirini muone
 
Kama kuongoza ni rahisi hivyo hata mimi nawezaq kuwa Rais na miaka yangu hii hii niliyonayo.Wanaweza kusema hata wao ndio waliomuotesha Babu hiyo dawa......subirini muone

...hapana ila watasema wameoteshwa ili chama chao kiwe chama cha milele madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…