Hapana, hebu angalia zaidi utaona. Angalia upande wa kulia, mbegu imechipua, imekua mpaka imetoa Bibo lenye korosho.
Maana yake korosho zitaotea ndani ya magunia mpaka zitatoa korosho mpya zikiwa ndani ya magunia.
Huyo ndio Kipanya.
Sent using
Jamii Forums mobile app