Kipanya wewe korosho tena?


"Tutabangua hata kwa meno. Tutakula wenyewe" Watu mkashangilia, mkapiga yowe za shwangwe na kuandamana kupongeza. Kueni basi hizo korosha. Waleteni JKT wabangue hata kwa meno

Sasa ooh, wafanya biashara wanaruhusiwa kununua kiwango chochote. Mkiambiwa huyu mtu anakurupuka mnabisha - tuko kwenye right track.

Tatizo Watanzania tulishazoewa kuwa tunalishwa matango pori na kuyameza bila kufikiri

Wajinga ndio waliwao na mmeliwa!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…