KIPANYA: Tingatinga limebebwa na rushwa kubwa, haliwezi kuzitumbua

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,296
1914486_10153998367259339_7421105697833280630_n.jpg


tingatinga likitumbua "serious fraud" ndio itakua anguko lake
maana limebebwa na hizo fraud

Naona hii katuni, kipanya nae ni mmoja kati ya wau wanaoamini huyu mkulu anatumbua tu vichunusi, majipu ya ukweli ndio yaliyo mbeba na kumuweka hapo alipo
ukiangalia hii picha ukalinganisha na kinachoendelea serikalini sasa hivi utakubaliana na huyu mdau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom