tujengege tu
o brain??Lowasa hana umbo hilo la glass, juu kunene, chini kwembamba na bichwa lenye shimo kati,means 0 brain.
Mkuu sidhani kama unazifahamu sheria za wachora katuni Tanzania na ulimwenguni kwa ujumla!Huko tunakoelekea huenda Kipanya akapigwa Ban, hizi facts zake kwenye hizo katuni huwa zinamkera sana 'mtukufu'.
Ngoja tusubiri.
Weeeeee nomaaaaaaaa....umeteguaa mtegoAhahahaaaaa huyu jamaa ni kichwa, baada ya tren kuacha njia na kuwaachia watu maumivu ndio imefata njia yake sasa
Hapo alikuwa anamaanisha huyo ni kiongozi wa ile timu ya njano na kijana sasa baadaa ya mheshimiwa kutoaa ile list yeye akaamuaa kumjia juu bila kujal yule kashika silaha kapita mpaka risas zinakotoka na anamuelekea yule mlengajiWakuuu aliyeelewa kidogo atupe mwongozo