Huyu jamaa ni bonge la msanii."Creative." Namkubali ki noma.Kipanya ni akili kubwa huwa anlenga pale pale panàpouma
Siku hizi hakuna Uhuru wa kuongea, hata ukimtaka mkeo unyumba anawezasema " we mchochezi"Huu ni uchochezi
Inavyojionyesha hata huyo 'wakwanza mke' naye anamuogopa. Ni hatare!Kwani kufunga kifungo si kazi ya first lady? hata muda wa kioo hana?
Unamwamini? Huenda ameongea kinnyume.Mbona alisema huwa anacheka na kujiangalia kwenye kioo hiko kichwa kama ni cha kwake anafurahia sana
style ya Wasira hiyo
Lowasa hana umbo hilo la glass, juu kunene, chini kwembamba na bichwa lenye shimo kati,means 0 brain.Iyo katuni ni nani kwani? Uyo mbona kama rowasa?
Kwani kufunga kifungo si kazi ya first lady? hata muda wa kioo hana?
Iliwahi tokea kwa raisi wa kenyaHuko tunakoelekea huenda Kipanya akapigwa Ban, hizi facts zake kwenye hizo katuni huwa zinamkera sana 'mtukufu'.
Ngoja tusubiri.
Mpuuzi wewe,and I don't think so hata kweli umeenda shule,ivi unanzaje kumchukia kipanya , hakuna msomi alienda shule akamchukia kipanya,,,...uchonganishi. Simpendi kabisa huyu kiumbe kipanya wa soud soud. Hivi anajua tunamchukia??? Ngoja iko siku atakuja kujua
Hii ni kiboko bhanaaa!!
Ahahahaaaaa na raia wote watakuwa wagonjwa
Umenena vyema mkuuAnatumia kazi ya sanaa na fasihi kufikisha ujumba. Kazi ya sanaa ni kama ifuatavyo:
Kama haya yoye yana msingi kwa watu na jamii kwa ujumla.....hawezi kuwekewa BAN!!!!!
- Kukosoa
- Kusifia
- Kuburudisha
- Kuelimisha
- Kutia moyo
- Kubadilika
- Kurekebisha
- Kukumbusha
- Kujihukumu
- Kujitadhimini
- Kujipima
- Kuwajibika
- Kuchukua hatua stahiki
- Kufichua
- Kuanika hadharani
- Kumboleza
- Kutia hamasa
- Kutetea
- n.k