Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Leo hii kawashukia wale watumiaji wa Tweeter kwa ushauri au tahadhali hivyo nivema mkachagua njia sahihi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi kweli kweli, huu ni zaidi ya ushamba.
Kukiri makosa au mapungufu co ujinga bali ni namna ama njia ya kujiimarisha.
Iweje sasa kuwanyamazisha wakosoaji?
Mmawia kule twita unaitwa nani nikufolo!
Mcomoro
Serikali gani haina hata uwezo wa kudakua twiter yaani kigogo kawashinda?
Kama jambo dogo kama ili linawashinda je mtaweza kweli kusimamia ACTL ijiendeshe kwa faida?
Ushamba tu, mtakatifu m/mungu tu, the rest Wana makando kando ya uchafu na damu za watu kibao miilini mwao
Serikali gani haina hata uwezo wa kudakua twiter yaani kigogo kawashinda?
Kama jambo dogo kama ili linawashinda je mtaweza kweli kusimamia ACTL ijiendeshe kwa faida?
Serikali gani haina hata uwezo wa kudakua twiter yaani kigogo kawashinda?
Kama jambo dogo kama ili linawashinda je mtaweza kweli kufanya jambo gani?
Ndio ile Mmawia29?