kwenye jukwaa la mikutano ya kawaida ya kuomba kura JK amezirai mara 2 , sasa kwenye mdahalo si atakufa kabisa??
Labda mdahalo utumie questionnaire style ndio atakuja lakini ule wa kavukavu kama Kenya thubutu!
Anyway wakati wake na Makamba umeshapita. Mgombea ajaye tunadhani atakuwa tayari kusimama kwenye mdahalo.kwenye jukwaa la mikutano ya kawaida ya kuomba kura JK amezirai mara 2 , sasa kwenye mdahalo si atakufa kabisa??