Kipanya na Corona

Kipanya na Corona

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Kama kawaida yake msanii wa katuni Kipanya hayupo kwenye siasa tu bali hata kwenye matatizo ya kijamii yupo.

Hakika huyu msanii ni tunu ya taifa kwa kuwaelimisha Watanzania.

Screenshot_20200318-104216.jpeg

In God we Trust
 
Africa is like home 😂
Hii kauli nimeielewa maana sisi ni makazi ya kile kinyume cha kujikinga na korona!! Hatunawi,tunapuuza mambo,hatuna wataalum na umaskini ndo unakandamizia kabisa!! Kweli is like home😂
 
Siku hazigandi na kwa sasa watanzania sasa wanalijua hilo hivyo hata cdm wasipo fanya kampeini lkn tume huru ikiwepo basi lumumba lazima wale ngwala
Hata akiondoka mikutano ya Chademawitaendelea kula pini

In God we Trust
 
Umesahau na wakubwa kushindwa kufunga mipaka kisa tuna urafiki
Africa is like home
Hii kauli nimeielewa maana sisi ni makazi ya kile kinyume cha kujikinga na korona!! Hatunawi,tunapuuza mambo,hatuna wataalum na umaskini ndo unakandamizia kabisa!! Kweli is like home

In God we Trust
 
Ugonjwa huu ungekuwa kwenye papuchi ningepata convulsions lakini kwenye hewa hautanipata hata siku moja
 
Africa is like home 😂
Hii kauli nimeielewa maana sisi ni makazi ya kile kinyume cha kujikinga na korona!! Hatunawi,tunapuuza mambo,hatuna wataalum na umaskini ndo unakandamizia kabisa!! Kweli is like home😂
TIA.
 
Back
Top Bottom