Kipanya na Bunge... ha ha ha!

Kipanya na Bunge... ha ha ha!

Steve Dii

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2007
Posts
6,402
Reaction score
1,298



attachment.php


Kwa hisani ya gazeti la Mwananchi, 17-4-2013.
 
Yani kwa sasa unashindwa kabisa kuangalia kipindi cha bunge na watoto.
 
"kudadadadadadakeki"-Hh Livngstone

Bongo kazi tunayo, Huyu jamaa anatufundisha nini?
 
Niliacha kuangalia vipindi vya Bunge siku nyingi sana haswa baada ya kuona ndio sehemu pekee inayoua demokrasia
 
Vipindi vya bunge vitaanza kuitwa UGALI, PILAU kama zile movie za X kule manzase.
 
Back
Top Bottom