nyamalagala
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 744
- 673
Wakuu endeleeni kudondosha katuni za Kipanya maana hutufikirisha sana
Uchoraji wa Gado upo wazi sana.View attachment 525624
Haya hii hai hitaji nguvu nyingi kuitafasiri, maana unaweza mkosea mkulu
Hii Katuni maana yake ni simple sana.
Hao Mbwa ni Marais wa awamu tatu. Wanalinda hiyo mikataba isifunuliwe na mtu yeyote.
Hii pia inaweza kuwa tafsiri yake. Lakini kulingana na uhalisia uliopo. Sidhani kama hawa Marais watatu hawajui mkataba upo wapi. Au hawajawahi kuuona.Hata wao wameshindwa kuifungua. Wapo kama mazuzu hawajui cha kufanya na hata hawana uhakika kama imo mule ndani au copies zote zilishatolewa kupelekwa kusikojulikana
Mikataba imepelekwa mbele yao. Ina ka kamba kadogo tu wala hakuna kufuli lolote. Body language ya Mbwa wale ni ya kushindwa - no clue whatsover on what to do. Unalindaje kwa pozi hili hapaHii pia inaweza kuwa tafsiri yake. Lakini kulingana na uhalisia uliopo. Sidhani kama hawa Marais watatu hawajui mkataba upo wapi. Au hawajawahi kuuona.
Kikubwa hapo wanaulinda Usiwe wazi kwa Watanzania.
Gado anachora kimagharibi -kumpa mtu makavu in funny way!Uchoraji wa Gado upo wazi sana.
Hata Mtu akiamua kumshtaki ni vyepesi kumshinda. Anaandika majina ya wahusika bila kuyageuza au kuweka alama tu ili kujilinda.
Ukitambua kuwa hao si mbwa bali ni FISI hautasumbuka kupata ujumbe mzito alokusudia kuutoa msanii.
Bado hawawezi kumshtaki sababu duniani hakuna Magufuli mmojaGado anachora kimagharibi -kumpa mtu makavu in funny way!
Wakati Kipanya yuko poetic anakufikirisha in a funny way!
Hao mbwa hawalindi madini...wanalinda mikataba ya madini isifunguliwe na kuonekana na wananchi...
Toka lini mbwa wakavaa miwani!?Tafsiri yke ni kwamba hao mbwa wameshindwa kufungua cheni zilizopo shingoni mwao, wataweza huo mnyororo??
Tunatafuta aliyeturoga ilihali mchawi tunamlinda na tumejitia upofu na hatutaki hata kuona.Tafsiri yke ni kwamba hao mbwa wameshindwa kufungua cheni zilizopo shingoni mwao, wataweza huo mnyororo??
Hapo ni kwamba wanaolalamika kwamba nchi inaibiwa ndio hao hao wanaolinda mikataba.
Hapo kuna Marais watatu wa Tanzania kabla ya huyu.. Wakiilinda mikataba...hakuna wa kuitizama...