Kipanya: Mifuko ya plastic jamaa wako serious this time

Kipanya: Mifuko ya plastic jamaa wako serious this time

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,353
1105371
 
Mifuko iliyotolewa ni ghari haiendani na Uwezo wa wauzaji wadogo wadogo.

Watoa matamko wawatolee pia wazalishaji waipack kama ile ile iliyokuwepo na iwe bei ndogo.

Mfano ile Mifuko ya plastick midogo ilikuwa inafungwa pakti moja ndani mifuko50 kwa sh 550-700 sawa na kafuko kamoja kwa almost Sh 14 which is simple kwa muuza ndizi kununua na kuwafungia Wateja wake bure.
But hii ya mbadala mfuko wa saizi kama hiyo niliyoizungumza hapo juu inauzwa kwa piece/mmoja mmoja sh 90-100.

Sasa ukija kwa mama muuza ndizi kama alikuwa anaweza only kutumia pakti moja ya Sh 700 kwa sasa idadi ile ile ya Mifuko 50 itamgharimu Sh 5000 kwa Mifuko 50 tu. Sasa kama alikuwa anatumia pakti 4 ujue tayari imeshagonga elfu 20.

Kwahiyo watoa matamko tunawaomba wawalazimishe wazalishaji waipack kama hiyo iliyokuwepo na bei zikaribiane mno na iliyokuwepo
 
kwa wale mliofika mji wa karatu mtakubaliana na mimi kwamba zamanii hawatumii hayo maplastik....wale sio wa kenya wala waburundi...inawezekana na hapa ni kukaziana tu,hakuna namna
 
Mifuko iliyotolewa ni ghari haiendani na Uwezo wa wauzaji wadogo wadogo.

Watoa matamko wawatolee pia wazalishaji waipack kama ile ile iliyokuwepo na iwe bei ndogo.

Mfano ile Mifuko ya plastick midogo ilikuwa inafungwa pakti moja ndani mifuko50 kwa sh 550-700 sawa na kafuko kamoja kwa almost Sh 14 which is simple kwa muuza ndizi kununua na kuwafungia Wateja wake bure.
But hii ya mbadala mfuko wa saizi kama hiyo niliyoizungumza hapo juu inauzwa kwa piece/mmoja mmoja sh 90-100.

Sasa ukija kwa mama muuza ndizi kama alikuwa anaweza only kutumia pakti moja ya Sh 700 kwa sasa idadi ile ile ya Mifuko 50 itamgharimu Sh 5000 kwa Mifuko 50 tu. Sasa kama alikuwa anatumia pakti 4 ujue tayari imeshagonga elfu 20.

Kwahiyo watoa matamko tunawaomba wawalazimishe wazalishaji waipack kama hiyo iliyokuwepo na bei zikaribiane mno na iliyokuwepo

Itapatikana tu mbadala ya bei nafuu, maana ni fursa ambayo bado inafanyiwa kazi.
Wanunuzi pia wanaweza kuwa na mifuko yao re-usable mfano ya kitambaa.
 
Nadhani tungepunguza marufukus na kujikita kwenye elimu ya mazingira with vikundi vidogovidogo vya kimtaa.
 
Back
Top Bottom