ndyoko JF-Expert Member Nov 2, 2010 4,971 1,650 Jun 11, 2012 #21 Ntu said: Duh! Kama mzee oil chafu vile......! Click to expand... Na juzi alidai kuwa ilikuwa alale Johannesburg, ila ikabidi arudi kwa ajili ya kale ka mkutano kao!
Ntu said: Duh! Kama mzee oil chafu vile......! Click to expand... Na juzi alidai kuwa ilikuwa alale Johannesburg, ila ikabidi arudi kwa ajili ya kale ka mkutano kao!
MESTOD JF-Expert Member Nov 12, 2010 4,798 2,004 Jun 11, 2012 #22 Duh, halafu aliyelala pale sijui kama ni binadamu!
mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 Jun 11, 2012 #23 Hiyo shuka mbona inatoa rangi hivyo? Mpaka mwili umekuwa na rangi ya shuka!
democratic JF-Expert Member Nov 21, 2011 1,642 295 Jun 11, 2012 #25 na hiki kitakuwa ni kiumbe kutoka hifadhi ya gombe
Tayana-wog JF-Expert Member Feb 26, 2012 23,144 26,651 Jun 11, 2012 #26 ....kwa matumizi ya lugha ya picha,i salute u Mr.!
Mjomba wa taifa JF-Expert Member Apr 20, 2012 231 161 Jun 11, 2012 #27 Kama Shuka ni fupi sana afumue na mapindo iongezeke urefu
Tuko JF-Expert Member Jul 29, 2010 11,178 7,320 Jun 11, 2012 #29 Halafu hilitumii neti.... Malaria itaishaje?
Ciril JF-Expert Member Jan 10, 2011 8,558 7,156 Jun 11, 2012 #31 Kiganyi said: Click to expand... Teh teh ccm bwana,utafikiri wanatumia akili za kuazima
Red Scorpion JF-Expert Member Feb 1, 2012 5,736 4,252 Jun 11, 2012 #32 na hiki kitakuwa ni kiumbe kutoka hifadhi ya gombe Ina maana Wahasira anatokea gombe? tehe tehe tehe tehe!!!!!
na hiki kitakuwa ni kiumbe kutoka hifadhi ya gombe Ina maana Wahasira anatokea gombe? tehe tehe tehe tehe!!!!!
luvcyna JF-Expert Member Feb 24, 2009 1,848 1,938 Jun 11, 2012 #33 fearless KIPANYA.. you r among the very few. mwingine angejiuliza watanionaje!!
M Mzee Kijana JF-Expert Member Nov 25, 2011 1,406 1,088 Jun 11, 2012 #35 KOMBAJR said: Kauli nyepesi utasikia Kipanya ni CDM wait an see. Click to expand... Kwani ulikuwa hujui!!!!? Watakucheka watu.
KOMBAJR said: Kauli nyepesi utasikia Kipanya ni CDM wait an see. Click to expand... Kwani ulikuwa hujui!!!!? Watakucheka watu.