Kipanya leo!!

Hiyo shuka mbona inatoa rangi hivyo? Mpaka mwili umekuwa na rangi ya shuka!
 
na hiki kitakuwa ni kiumbe kutoka hifadhi ya gombe


Ina maana Wahasira anatokea gombe? tehe tehe tehe tehe!!!!!
 
fearless KIPANYA.. you r among the very few. mwingine angejiuliza watanionaje!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom