Henge JF-Expert Member May 14, 2009 6,933 1,510 May 8, 2012 #2 Kiganyi said: Click to expand... ni kweli ndivyo ilivyo! na hapa ndo kipanya anakuwa panya kweli!
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 May 8, 2012 #3 mafisadi hao ....hawashibi aisee ...mijamaa imefika hatua ya kusafirisha hadi kobe ..nisingeshangaa siku wamesafirisha hadi kunguru
mafisadi hao ....hawashibi aisee ...mijamaa imefika hatua ya kusafirisha hadi kobe ..nisingeshangaa siku wamesafirisha hadi kunguru
Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,444 May 8, 2012 #4 Kiganyi said: Click to expand... Siku zote fisadi hatosheki na hashibi
ummu kulthum JF-Expert Member Feb 6, 2012 2,785 1,317 May 8, 2012 #5 dah ama kweli aliyenacho anaongezewa zaidi