Mh! tafsiri yako unaibaka sana!Sehemu kubwa ya kaburi na mchanga vinawakilishwa na rangi ya wazee wa no reforms no election ivyo ni chadema.
Shatu la 🌲ni chama kilichoshika hatamu.
Mtu aliyedumbukia kaburini ni afisa mipango wa chama kinachowakilishwa na ilo shati ambapo kwa mtego walioutega walitegemea kukiua chama kinachowakilishwa na rangi ya iyo ardhi na kukizika humo, kwa bahati mbaya matarajio yamekua ni magumu na kaburi linajaa maji ikiwa ni ishara ya marehemu aliyetarajiwa kufa mpk sasa yupo hai.
Kutumbukia kwa mtu na kutoa maji kaburini inaweza kuwa ni ishara mpya ya kujaribu kutengeneza matatizo na misuguano mipya ndani ya chama ili kukitetelesha na kukiua.
Wingi wa maji kwenye kaburi ukilinganisha na yaliyofanikiwa kutolewa ni ishara ya uimara wa chama mpinzani unaopelekea mtoa maji kucheka kwa kuona kazi iyo ni ngumu na inaweza ikamchosha anayeyatoa maji kaburini.
Afisa anayetoa maji ana tabasamu ikimaanisha hili jambo linamchekesha na kumpa furaha jambo ambalo linaweza kuashiria tofauti na mtazamo uliotoa.Sehemu kubwa ya kaburi na mchanga vinawakilishwa na rangi ya wazee wa no reforms no election ivyo ni chadema.
Shatu la 🌲ni chama kilichoshika hatamu.
Mtu aliyedumbukia kaburini ni afisa mipango wa chama kinachowakilishwa na ilo shati ambapo kwa mtego walioutega walitegemea kukiua chama kinachowakilishwa na rangi ya iyo ardhi na kukizika humo, kwa bahati mbaya matarajio yamekua ni magumu na kaburi linajaa maji ikiwa ni ishara ya marehemu aliyetarajiwa kufa mpk sasa yupo hai.
Kutumbukia kwa mtu na kutoa maji kaburini inaweza kuwa ni ishara mpya ya kujaribu kutengeneza matatizo na misuguano mipya ndani ya chama ili kukitetelesha na kukiua.
Wingi wa maji kwenye kaburi ukilinganisha na yaliyofanikiwa kutolewa ni ishara ya uimara wa chama mpinzani unaopelekea mtoa maji kucheka kwa kuona kazi iyo ni ngumu na inaweza ikamchosha anayeyatoa maji kaburini.
Mh! tafsiri yako unaibaka sana!
Afisa anayetoa maji ana tabasamu ikimaanisha hili jambo linamchekesha na kumpa furaha jambo ambalo linaweza kuashiria tofauti na mtazamo uliotoa.
ulifuatilia picha za awaliItapendeza ukitoa tfsiri yako pia
ulifuatilia picha za awali
😂 umeanza kuniita mswahili tena mi sijapinga tafsiri yako upo sahihi iaipokuwa kuna vitu vidogo tu ndo umeongezaongeza, na hizo picha zinamuendelezo zipo za awali na hii ni muendelezo na ndio maana nikakuuliza za awali uliziona..?Waswahili mna matatizo Sana .
Anachofanya masoud kipanya ni sanaa ambayo inalenga mwenendo wa kisiasa .
Sasa ukitaka kila MTU atoe tafsiri inayoendana na akili yako kutakuwa hamna maana tena.
Sijui Kama nimeeleweka Ila ukuze ufahamu wako vzr
Sawa Ila andika tfsiri yako tusome mkuu😂 umeanza kuniita mswahili tena mi sijapinga tafsiri yako upo sahihi iaipokuwa kuna vitu vidogo tu ndo umeongezaongeza, na hizo picha zinamuendelezo zipo za awali na hii ni muendelezo na ndio maana nikakuuliza za awali uliziona..?
sasa uswahili hapo unatoka wapi..?
Nikisema hiyo ndoo ya buluu inawakilisha muungano unaozama huku mwenye shati la kijani akitumia jitihada kuuokoa, naamini sijakosea.Sehemu kubwa ya kaburi na mchanga vinawakilishwa na rangi ya wazee wa no reforms no election ivyo ni chadema.
Shatu la 🌲ni chama kilichoshika hatamu.
Mtu aliyedumbukia kaburini ni afisa mipango wa chama kinachowakilishwa na ilo shati ambapo kwa mtego walioutega walitegemea kukiua chama kinachowakilishwa na rangi ya iyo ardhi na kukizika humo, kwa bahati mbaya matarajio yamekua ni magumu na kaburi linajaa maji ikiwa ni ishara ya marehemu aliyetarajiwa kufa mpk sasa yupo hai.
Kutumbukia kwa mtu na kutoa maji kaburini inaweza kuwa ni ishara mpya ya kujaribu kutengeneza matatizo na misuguano mipya ndani ya chama ili kukitetelesha na kukiua.
Wingi wa maji kwenye kaburi ukilinganisha na yaliyofanikiwa kutolewa ni ishara ya uimara wa chama mpinzani unaopelekea mtoa maji kucheka kwa kuona kazi iyo ni ngumu na inaweza ikamchosha anayeyatoa maji kaburini.
" He Who Digieth The Pit Shall Bury Himself"
Andika kwa pembeni tafsiri yako Mkuu au uwanja wa kuandika comment kwenye simu yako haupoNikisema hiyo ndoo ya buluu inawakilisha muungano unaozama huku mwenye shati la kijani akitumia jitihada kuuokoa, naamini sitjakosea.