Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
............................................View attachment 47360
Huwa namkubali Kipanya kama navyomkubalia Nathan na pia GADO.........endelezeni juhudi zenu za kuikumbusha jamii yetu wajibu!
heyo! Heyo!mimi ni daktare mkare wa mistare,mkware wa vibinti vya kitaare,
nashusha mistare mbele ya mkwe.ree halafu natinga ikulu kama mwigulu mchemba mwanachemba nakuita chemba ukinzingua natambaa kama msambaa makambaa
Niikibuka niko tilalila kama mr blue huku nawacheki chelsea the blue,huuwezi moto huu mkuu........
yo yo yo heshima pesa book mzigo,Ha ha ha sio kama nacheka yo yo bali nadesa nawashukru majita wangu wa east zuu hata hawa wasahishaji wakinifelisha naendeleza fani yo yo
Aiyayayayaaaaa........Hiyo tunaita maneno mbofu mbofuheyo! Heyo!mimi ni daktare mkare wa mistare,mkware wa vibinti vya kitaare,
nashusha mistare mbele ya mkwe.ree halafu natinga ikulu kama mwigulu mchemba mwanachemba nakuita chemba ukinzingua natambaa kama msambaa makambaa
Niikibuka niko tilalila kama mr blue huku nawacheki chelsea the blue,huuwezi moto huu mkuu........
yo yo yo heshima pesa book mzigo,
mishemishe mpaka niwe kigogo mzito kama zitto toka pande za kigo...nipige bingo sitaki ajizi kama aziz wa dowan na nambari wani,,nina division one uraiani.....yoyoyo
yo yo yo heshima pesa book mzigo,
mishemishe mpaka niwe kigogo mzito kama zitto toka pande za kigo...nipige bingo sitaki ajizi kama aziz wa dowan na nambari wani,,nina division one uraiani.....yoyoyo