Kipanya awashtukia wateule

Kipanya awashtukia wateule

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Msanii maarufu na nguli wa michoro ya katuni maarufu kama Kipanya ametegua kitendawili cha viongozi wateule na kutufungua macho.

Wengi wetu tulikuwa tunajiuliza inakuwaje hawa wateule wanatutawala kwa mbwembwe kumbe kuna kitu wanalenga ili kulinda kibarua chao.

Screenshot_20191122-215849.jpeg
 
Hapa duniani hajatokea mchumia tumbo kama vijana wa lumumba
Kwa tunaomfahamu Masoud Kipanya tunamjua ni mchumia tumbo. Mwanzoni mwa miaka ya 2000 alikuwa na kampuni yake KP. Ipo? Si aliifilisi kwa kukimbiza sketi za Jangwani na Kibasila, mwishowe akarudi kuganga njaa Clouds! Huyo anawatisha ninyi wa Ufipa msiomjua!
 
Wewe unafanyaje? Wewe ni mwabudu? Uko bize kusujudia wanaume wenzako tu. Hujui hata kwa nini umekuja Duniani.
Kwa tunaomfahamu Masoud Kipanya tunamjua ni mchumia tumbo. Mwanzoni mwa miaka ya 2000 alikuwa na kampuni yake KP. Ipo? Si aliifilisi kwa kukimbiza sketi za Jangwani na Kibasila, mwishowe akarudi kuganga njaa Clouds! Huyo anawatisha ninyi wa Ufipa msiomjua!
 
Wewe unafanyaje? Wewe ni mwabudu? Uko bize kusujudia wanaume wenzako tu. Hujui hata kwa nini umekuja Duniani.
Huyu Kipanya mbona kila siku anaramba miguu ya Kusaga pale Clouds? Anajua kilichomleta duniani?
 
Wewe unafanyaje? Wewe ni mwabudu? Uko bize kusujudia wanaume wenzako tu. Hujui hata kwa nini umekuja mDuniani.
Nje ya mada. Mkuu hiyo avatar yako imenikumbusha mbali sana wakati wa ubabe wa dola la Umoja wa Jamhuri za Kisoviet USSR au CCCP(Tamka SESESERE)

Mr Putin, please Make Russia Great Again
 
Back
Top Bottom