Hahahaaaa,Hata mi inawezekana ninii?Sababu wikiiliyopita nilikutana na mdada ambae alikua ukikutananae kukusalimia yani nikwa nyodo kanakwamba unamlazimisha hiv,Leo j pili nimekutananae nikitokea Kanisani yaan sikuamini!salamu yake,hee mambo niwewe za siku kwema,nikaitikia lakini nikawa nashituka hiv huyu ndio yule ninae mjua au?nikaanza kujishtukia au sijanawa uso vzr nn?au MAKAMASI yananing'inia kwenye pua yangu,ok nikamuaga nikaachana nae,nimefika mbelekidogo nikakutana na mwalimu wangu wa chuo nilivyo salimiananae akaniambia aisee leo nisiku nzuri sana yaan wewe nimwanafunzi wangu wa pili kukutana nawe,ila niliekitananae ni mdada mmoja alikua anajisikia sna kiasikwamba akikusalimia nenda uka chinje kuku,lakini leilo nimeona tofauti kabisaa,nikamuuliza kwanin mwalm?lakin nimegundua kumbe alikua ameachika alikua kimada wa Mh na mh amekosa ubunge hivyo nyumba mdogo imefikia mwisho,sasa ameanza kujirudisha kwenye jamii.uposahihi kaka.