Kipanya awakejeli akina dada

Kipanya awakejeli akina dada

Kwani uongo kuna watu sahv wamepark magari, mbwembwe zote kwisha oooh naishi masaki sijui nimechukua nyumba nzima..............itajulikana tu
 
Inabidi tuwe makini sn...leo nahisi kuna mtu kaniendea kwa mganga
 
Inabidi tuwe makini sn...leo nahisi kuna mtu kaniendea kwa mganga
kama wewe ndiyo uliyempiga chini mchepuko wako yule wa maeneo ya mbezi beach yule lazima akuendee kwa mganga pango linakaribia kuisha kodi we ndiyo unamwaga hakuachi salama .. binti aamini anaweza kuachwa
 
kama wewe ndiyo uliyempiga chini mchepuko wako yule wa maeneo ya mbezi beach yule lazima akuendee kwa mganga pango linakaribia kuisha kodi we ndiyo unamwaga hakuachi salama .. binti aamini anaweza kuachwa
Sehem ambayo silali siwezi kulipia kodi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom