Kipanya awakejeli akina dada

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,061
WhatsApp Image 2017-01-10 at 10.54.40 AM.jpeg
 
Hajakejeli kaweka ukweli. Wanawake kuna saa tunajisahau sana,ukipata hela kidogo tu nyodo tele,dharau kujiona wa thaman wakati hata akiba haweki hana mali za maana. Likimkuta la kumkuta utamuonea huruma.

Mfano mzuri upo kwa hawa wadada wa bongo movie walikua na kufuru za hali ya juu kisa vigogo kuwahonga,saiv kiko wapi,wanagombania vijana wa bongo fleva.
 
Back
Top Bottom