Kipanya anamchokoza mtu

Kipanya anamchokoza mtu

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
72,947
Reaction score
102,723
fc643d521bc331540f88ad0e591194c0.jpg
 
Likipita wimbi kubwa hapo hiyo boti ya mapanya buku inazama
 
Nilivyoelewa:
Mtumbwi (Muhogo) - Tanzania
Manahodha wa mtumbwi - Hata mimi siwajui mana sina mkojo wakupeleka kwa mkemia mkuu sina.

Manahodha wa mtumbwi ndio watakaozamisha huo mtumbwi kutokana na maamuzi yao ya kipumbavu, wanaamua kula muhogo bila kujali kwamba wanahatarisha maisha ya panya hao wengine ambao wao hawali sehemu yoyote ya mtumbwi.
 
Kipanya ana akili sana
Likipita wimbi kubwa hapo hiyo boti ya mapanya buku inazama

Hiyo boti ni nchi ya Tanzania, so kuzama kwa Tanzania maana yake nn? Nani atapona?
 
Back
Top Bottom