Kipande cha almasi saizi ya kitenesi kilichochimbwa Botswana chashindikana kuuzwa

Dark Angel

JF-Expert Member
Sep 12, 2013
212
220
Kipande cha almasi cha pili kwa ukubwa duniani kimeshindikana kuuzwa katika mnada uliofanyika mjini London hapo jana, baada ya wazabuni waliohudhuria kutoimudu bei iliyopangwa.

Kipande hicho cha almasi kina ukubwa wa mpira wa tenisi, na kinakadiriwa kufika miaka milioni 70. Lesedi la Rona ambalo ndio jina la alamsi hiyo, ilichimbwa Botswana. Bei rasmi iliyopigiwa mnada ilikuwa ni dola milioni 70.
 
33D3582A00000578-3573047-The_1_109_carat_Lesedi_la_Rona_diamond_is_now_up_for_auction_in_-m-75_1462362694847.jpg

:)
 
Tanzanite ni bei rahis na iko adimu mara elf1000 ya almasi ila ukubwa huo wa kitenes ni bei ya kawaida
 
Back
Top Bottom