nyingine huwa zinatoka kichwani bila kupigwa sehemu nakumbuka wakat tupo advance kuna jamaa alikuwa anamchora mwalimu wakati anafundisha sasa hapo utasemajetuache utani
kipaji cha kuchora au kipaji cha kucheza na picha zilizokwisha kupigwa?
Hamna picha iliyopigwa hapo zote ni kuchora. Hizo picha za watu kama wanachungulia zimekuchanganya, kilakitu hapo ni chakuchora.tuache utani
kipaji cha kuchora au kipaji cha kucheza na picha zilizokwisha kupigwa?
nyingine huwa zinatoka kichwani bila kupigwa nakumbuka wakat tupo advance kuna jamaa alikuwa anamchora mwalimu wakati anafundisha sasa hapo utasemaje
Hamna picha iliyopigwa hapo zote ni kuchora. Hizo picha za watu kama wanachungulia zimekuchanganya, kilakitu hapo ni chakuchora.
kwani huyo jamaa umeambiwa kachora kwa kukopi picha iliyopigwa au kachora kutoka kichwa?Sasa kuna haja gani ya kuchora picha inayofanana na ile iliyopigwa kwa kamera,mi naonaga ni kupoteza tu muda.