Kiongozi wa Upinzani Bungeni 2015-2020.

karama kaila

Senior Member
Jan 30, 2015
122
60
Kwa hali ya bunge itakavyokuwa Ni muhimu Kiongozi wa Upinzani Bungeni atoke CUF upande wa Zanzibar ili kuonyesha Umoja wa Kitaifa.

Kwasababu CUF walikubali kuburuzwa kwa kumtoa Juma Duni Haji kuwa mwanachama wa CDM ili kumuunga mkono mgombea wao.
Lakini pia kwa kitendo cha CDM kuwa na mgombea uraisi wa Jamhuri wamepata kura nyingi kuliko CUF na hivyo CDM watapata viti maalum wengi na ruzuku nyingi ya kuendesha chama.
Ni Wakati wa Mbowe kuacha tamaa na kuachia nafasi ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni iende CUF na CDM itoe mnadhimu wa kambi Rasmi ya upinzani.
Ni wakati wakwenda kuunda kambi rasmi ya Upinzani Bungeni kwa umoja na ushirikiano.
Na Ni lazima mwenye viti maalum wengi na mwenye ruzuku nyingi na aliyesimamisha mgombea uraisi amuachie mwenzie aweke Kiongozi wa Upinzani Bungeni.
Natumai katika hili CUF hawatakubali Uzwazwa.
 
Tunajua mtaleta ngebe nyingi sana. Hivi, ingekuwa tumeshinda si ungeomba mengi zaidi?? Waache viongozi wetu watuamulie kama walivyo amua tangu mwanzo, wala usituanzishie choko chuko saa bado, ikifika wataamua wala si kwa maneno yako. Nadhani weye ni ccm unatupa kidogo kidogo punje za faraka.
 
Logic ni kuwa na kiongozi bora atakayeweza kuunganisha vyama vyote haijalishi atatoka CDM CUF NCCR ama ACT
 
Kwa hali ya bunge itakavyokuwa Ni muhimu Kiongozi wa Upinzani Bungeni atoke CUF upande wa Zanzibar ili kuonyesha Umoja wa Kitaifa.

Kwasababu CUF walikubali kuburuzwa kwa kumtoa Juma Duni Haji kuwa mwanachama wa CDM ili kumuunga mkono mgombea wao.
Lakini pia kwa kitendo cha CDM kuwa na mgombea uraisi wa Jamhuri wamepata kura nyingi kuliko CUF na hivyo CDM watapata viti maalum wengi na ruzuku nyingi ya kuendesha chama.
Ni Wakati wa Mbowe kuacha tamaa na kuachia nafasi ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni iende CUF na CDM itoe mnadhimu wa kambi Rasmi ya upinzani.
Ni wakati wakwenda kuunda kambi rasmi ya Upinzani Bungeni kwa umoja na ushirikiano.
Na Ni lazima mwenye viti maalum wengi na mwenye ruzuku nyingi na aliyesimamisha mgombea uraisi amuachie mwenzie aweke Kiongozi wa Upinzani Bungeni.
Natumai katika hili CUF hawatakubali Uzwazwa.
Who are you? Acha fitina za kitoto hizo.
 
Kwa hali ya bunge itakavyokuwa Ni muhimu Kiongozi wa Upinzani Bungeni atoke CUF upande wa Zanzibar ili kuonyesha Umoja wa Kitaifa.

Kwasababu CUF walikubali kuburuzwa kwa kumtoa Juma Duni Haji kuwa mwanachama wa CDM ili kumuunga mkono mgombea wao.
Lakini pia kwa kitendo cha CDM kuwa na mgombea uraisi wa Jamhuri wamepata kura nyingi kuliko CUF na hivyo CDM watapata viti maalum wengi na ruzuku nyingi ya kuendesha chama.
Ni Wakati wa Mbowe kuacha tamaa na kuachia nafasi ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni iende CUF na CDM itoe mnadhimu wa kambi Rasmi ya upinzani.
Ni wakati wakwenda kuunda kambi rasmi ya Upinzani Bungeni kwa umoja na ushirikiano.
Na Ni lazima mwenye viti maalum wengi na mwenye ruzuku nyingi na aliyesimamisha mgombea uraisi amuachie mwenzie aweke Kiongozi wa Upinzani Bungeni.
Natumai katika hili CUF hawatakubali Uzwazwa.

Pumbaaaav unafikiria nafasi ya kiongozi wa upinzani ni ya kupeana kama nguo? The law is clear. Kiongozi wa chama chenye the second most number of MPs anakuwa kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni!
 
Kwa hali ya bunge itakavyokuwa Ni muhimu Kiongozi wa Upinzani Bungeni atoke CUF upande wa Zanzibar ili kuonyesha Umoja wa Kitaifa.

Kwasababu CUF walikubali kuburuzwa kwa kumtoa Juma Duni Haji kuwa mwanachama wa CDM ili kumuunga mkono mgombea wao.
Lakini pia kwa kitendo cha CDM kuwa na mgombea uraisi wa Jamhuri wamepata kura nyingi kuliko CUF na hivyo CDM watapata viti maalum wengi na ruzuku nyingi ya kuendesha chama.
Ni Wakati wa Mbowe kuacha tamaa na kuachia nafasi ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni iende CUF na CDM itoe mnadhimu wa kambi Rasmi ya upinzani.
Ni wakati wakwenda kuunda kambi rasmi ya Upinzani Bungeni kwa umoja na ushirikiano.
Na Ni lazima mwenye viti maalum wengi na mwenye ruzuku nyingi na aliyesimamisha mgombea uraisi amuachie mwenzie aweke Kiongozi wa Upinzani Bungeni.
Natumai katika hili CUF hawatakubali Uzwazwa.

Anzeni kuandaa utekelezaji wa ahadi lukuki alizotoa Mzee wa pushup. Msipoteze lengo kwa kukazania yasowahusu
 
Umeandika kizwazwa zaidi watu kama wewe kkwenye family advice huwa ni virus
 
mleta mada ni gamba' wacha ukawa wajiamulie. mimi ni cuf na namkubali mbowe kama kiongozi mwenye msimamo, nafikiri nafasi bado inamfaa
 
Kwa hali ya bunge itakavyokuwa Ni muhimu Kiongozi wa Upinzani Bungeni atoke CUF upande wa Zanzibar ili kuonyesha Umoja wa Kitaifa.

Kwasababu CUF walikubali kuburuzwa kwa kumtoa Juma Duni Haji kuwa mwanachama wa CDM ili kumuunga mkono mgombea wao.
Lakini pia kwa kitendo cha CDM kuwa na mgombea uraisi wa Jamhuri wamepata kura nyingi kuliko CUF na hivyo CDM watapata viti maalum wengi na ruzuku nyingi ya kuendesha chama.
Ni Wakati wa Mbowe kuacha tamaa na kuachia nafasi ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni iende CUF na CDM itoe mnadhimu wa kambi Rasmi ya upinzani.
Ni wakati wakwenda kuunda kambi rasmi ya Upinzani Bungeni kwa umoja na ushirikiano.
Na Ni lazima mwenye viti maalum wengi na mwenye ruzuku nyingi na aliyesimamisha mgombea uraisi amuachie mwenzie aweke Kiongozi wa Upinzani Bungeni.
Natumai katika hili CUF hawatakubali Uzwazwa.

Huu nao ni uchonganishi!!!!!!
 
Mtoa mada nani kakuambia Viti Maalum vinatokana na idadi ya kura za Urais??

Tafadhali rejea katiba ya JMT Ibara ya 78(1)
 
huyu jamaa sijui anafikiria kwa kutumia ma.kamasi,kwanza cuf imefaidika sana kutokana na muungano kuliko chama chochote kwa kupata wingi wa viti bungeni,2 watapata viti maalum vingi tofauti na ulivyo kuwa 2010.kama kuna chama ambacho kinabidi kufanikisha umoja huu kuendelea ni cuf,UKAWA imeirudisha cuf kwenye ramani ya siasa hasa Tanzania Bara.majimbo ambayo cuf imeshinda kwa Tanzania bara kama kungekuwa hamna muungano CDM NA CUF wote wange loose majimbo ambayo cuf imepata kwa CCM ingawa CDM wangepata majimbo walio nayo kwa sasa.

kwa Tanzania barA CUF ilikuwa ina depend kwa CDM vile vile CDM ilikuwa haina cha ku gain kutoka zanzibar
 
Back
Top Bottom