Sniper JF-Expert Member Mar 8, 2008 1,917 714 Jun 23, 2011 #1 Yani Jamaa analala tu akija kuamka anajibu Pumba tupuuu hajui wapi wenzie waweishia wala wapi walianzia.....Magamba bana!
Yani Jamaa analala tu akija kuamka anajibu Pumba tupuuu hajui wapi wenzie waweishia wala wapi walianzia.....Magamba bana!
Sniper JF-Expert Member Mar 8, 2008 1,917 714 Jun 23, 2011 Thread starter #2 sasa huyu anapewa sitting allowance au sleeping allowance? Hapo ukute linajamba tu!
Mzee Dogo JF-Expert Member Nov 13, 2010 400 140 Jun 23, 2011 #3 Anangoja kupiga kura yake kupitisha posho zake na kuzomea wapinzani.
UmkhontoweSizwe Platinum Member Dec 19, 2008 8,556 7,761 Jun 23, 2011 #4 View attachment 32528 Na hawa ni walewale.
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,120 10,761 Jun 23, 2011 #5 Mzee_Wa_Manyafu said: sasa huyu anapewa sitting allowance au sleeping allowance? Hapo ukute linajamba tu! Click to expand... Faida za recycling ministers inalala tu,ukiigusa mikali hiyo.
Mzee_Wa_Manyafu said: sasa huyu anapewa sitting allowance au sleeping allowance? Hapo ukute linajamba tu! Click to expand... Faida za recycling ministers inalala tu,ukiigusa mikali hiyo.
Sajenti JF-Expert Member Apr 24, 2008 3,651 412 Jun 23, 2011 #6 Sijui ndio tumeishiwa watu wa kufanya hizi kazi?? Hili zee limepitwa na wakati kabisa kuwa kati utumishi wa umma sasa. Hivi unategemea akiamka hapo atoe mchango wa aina gani?
Sijui ndio tumeishiwa watu wa kufanya hizi kazi?? Hili zee limepitwa na wakati kabisa kuwa kati utumishi wa umma sasa. Hivi unategemea akiamka hapo atoe mchango wa aina gani?