Kiongozi wa shughuli za serikali bungeni!!!!

Sniper

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
1,917
714
Yani Jamaa analala tu akija kuamka anajibu Pumba tupuuu hajui wapi wenzie waweishia wala wapi walianzia.....Magamba bana!
 
sasa huyu anapewa sitting allowance au sleeping allowance? Hapo ukute linajamba tu!
 
Sijui ndio tumeishiwa watu wa kufanya hizi kazi?? Hili zee limepitwa na wakati kabisa kuwa kati utumishi wa umma sasa. Hivi unategemea akiamka hapo atoe mchango wa aina gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…