Bigawas
Senior Member
- Feb 19, 2021
- 124
- 83
Wanakutanishwa viongozi hata kama wapiganaji wao wanaendelea kupingana.Hayo yalishafanyika nyuma kidogo tena nakumbuka ni Misti iliwakutanisha, baada ya mazungumzo wakasitisha vita.UN ni zaidi ya Misti.Watakutanishwa vipi wakati wanaendelea kurushiana vifaa?
Pili,kuna mkubwa wa UN jana alisema hivyo vita visitishwe kwa pande zote mbili as soon as possible, Nani amemsikiliza na bado vitu vinatumwa hewani tu!?