Brother akajua mkutano utakuwa Jumamosi si ndiyo akanunua Mechi yote uwanja mzima akalipia KiingilioBrother akajua mkutano Jumatatu si ndiyo akarudisha pesa ya Chopper yote na fidia Juu watugomee kufanya kazi.
Sasa Mbowe kachukua Chopper kutoka UfaransaNasikia BOTHER KAZIMIA
Kikwete anawachora wasiojua lolote, yeye na Membe ndio walioianzisha na kufadhili ACT. Wao ndio waliipa ACT fedha za kusimamisha wagombea ngazi zote nchini uchaguzi wa 2015, anashangaa nini mtu kuhamia kwenye nyumba ndogo ukikosana na familia yako?
Kikwete anawachora wasiojua lolote, yeye na Membe ndio walioianzisha na kufadhili ACT. Wao ndio waliipa ACT fedha za kusimamisha wagombea ngazi zote nchini uchaguzi wa 2015, anashangaa nini mtu kuhamia kwenye nyumba ndogo ukikosana na familia yako?