Kiongozi Mpya wa Kenya, Uganda &Co.!

Kiongozi Mpya wa Kenya, Uganda &Co.!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,359
Reaction score
15,091
Huyu ndiye kiongozi ajaye wa Himaya ya Uingereza, Kiongozi wa Kenya, Uganda na wengineo (sisi TZ hatumo!) Uhuru Kenyata au Odinga au sijui Museveni, ni vibaraka wake tu, ambao wanamwakilisha Dogo, yeye ndio mpango mzima, yeye ndiye kiongozi wa Kenya! Huyo Hapo Chini!
 
Huyu ndiye kiongozi ajaye wa Himaya ya Uingereza, Kiongozi wa Kenya, Uganda na wengineo (sisi TZ hatumo!) Uhuru Kenyata au Odinga au sijui Museveni, ni vibaraka wake tu, ambao wanamwakilisha Dogo, yeye ndio mpango mzima, yeye ndiye kiongozi wa Kenya! Huyo Hapo Chini!

Absolute childish.
 
Back
Top Bottom