Kiongozi Mkuu wa Hamas, Mohammad Sinwar kapelekwa kwa kaka yake Yahya Sinwar

Kiongozi Mkuu wa Hamas, Mohammad Sinwar kapelekwa kwa kaka yake Yahya Sinwar

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,163
Reaction score
22,739
IDF hawacheki na wowote. Pamoja na Hamas kwa sasa kujaribu kuchagua viongozi wao kimya kimya bado IDF wanapoamua kuwa check wanawacheck tu.

Kaka yake Mohammad alifumuliwa komwe na hao Mayahudi. Sasa dogo naye kapelekwa jehanamu akapate mabikra 72.

Screenshot_2025-05-14-09-49-52-665_com.twitter.android.jpg
 
IDF hawacheki na wowote. Pamoja na Hamas kwa sasa kujaribu kuchagua viongozi wao kimya kimya bado IDF wanapoamua kuwa check wanawacheck tu.

Kaka yake Mohammad alifumuliwa komwe na hao Mayahudi. Sasa dogo naye kapelekwa jehanamu akapate mabikra 72.

View attachment 3333316
Hongera IDF kwa kazi nzuri!! Wafuga Midevu na Majini sasa hivi WamenUna kweli kweli!!!
 
Unashangilia? Aidha uko juha au umezibwa macho na imani potofu ya dini!
Mayahudi si marafiki zako pia. Wakikuona watakutemea mate. Waulize Mafalasha!
 
Unashangilia? Aidha uko juha au umezibwa macho na imani potofu ya dini!
Mayahudi si marafiki zako pia. Wakikuona watakutemea mate. Waulize Mafalasha!
Hapo Imani ya dini iko wapi? Au kwako wewe Hamas kufanya Mashambulizi ya Oct 07,2023 ya kuua watu 1,200 na kuteka nyara watu 251 ambao kuna wengine mpaka sasa inawashikilia ni Imani ya dini yenu?

Haijalishi kuwa Mayahudi ni marafiki zangu au siyo hapo ubinadamu Unachukua nafasi yake, Nani alikudanganya Mafalasha wana hali ngumu? Ritz anakudanganya hivyo? Mimi kwa sasa niko huko hakuna ubaguzi wowote huku kama mnavyodanganyana kwenye mitandao!!!

Kwa akili yako kiduchu Maarabu yalivyofanya Oct 07,2023 wewe unashangilia? Kama unashangilia ndiyo maana Mahamood Abbas aliwaitwa Watoto wa Mbwa maana ni WASHENZI sana.
 
Unashangilia? Aidha uko juha au umezibwa macho na imani potofu ya dini!
Mayahudi si marafiki zako pia. Wakikuona watakutemea mate. Waulize Mafalasha!

Hao hawanihusu na Maarabu nayo hayanihusu mimi natoa taarifa. Imani yangu haikuhusu. Magaidi wawe wanauawa tu wakiwa Dini au Kabila lolote. Ni kuwawahisha tu jehanamu
 
Hapo Imani ya dini iko wapi? Au kwako wewe Hamas kufanya Mashambulizi ya Oct 07,2023 ya kuua watu 1,200 na kuteka nyara watu 251 ambao kuna wengine mpaka sasa inawashikilia ni Imani ya dini yenu?

Haijalishi kuwa Mayahudi ni marafiki zangu au siyo hapo ubinadamu Unachukua nafasi yake, Nani alikudanganya Mafalasha wana hali ngumu? Ritz anakudanganya hivyo? Mimi kwa sasa niko huko hakuna ubaguzi wowote huku kama mnavyodanganyana kwenye mitandao!!!

Kwa akili yako kiduchu Maarabu yalivyofanya Oct 07,2023 wewe unashangilia? Kama unashangilia ndiyo maana Mahamood Abbas aliwaitwa Watoto wa Mbwa maana ni WASHENZI sana.
Israel imeua maelfu ya wananchi wa Palestine na watoto kabla ya Oct 7, hao 1200 si kitu kwa idadi ya raia ambao waliuawa na jeshi la Israel...
 
Hao hawanihusu na Maarabu nayo hayanihusu mimi natoa taarifa. Imani yangu haikuhusu. Magaidi wawe wanauawa tu wakiwa Dini au Kabila lolote. Ni kuwawahisha tu jehanamu
Ni kweli wayahudi wanawatemea mate wakristo na ni utamaduni wao, kama unabisha pita Tel Aviv umevaa msalaba, halafu pita karibu na nyumba zao za ibada utakuja kusimulia...
 
Ni kweli wayahudi wanawatemea mate wakristo na ni utamaduni wao, kama unabisha pita Tel Aviv umevaa msalaba, halafu pita karibu na nyumba zao za ibada utakuja kusimulia...

Sasa hiyo sijaona inanihusu nini mimi. Magaidi wanauawa hilo ndo kubwa. Unajua hata Yesu walimtema mate na kumuua?
 
Israel imeua maelfu ya wananchi wa Palestine na watoto kabla ya Oct 7, hao 1200 si kitu kwa idadi ya raia ambao waliuawa na jeshi la Israel...
Hao unaowasema wewe watoto wakati wanauliwa baba zao na mama zao daima wanakuwa wapi? Kwani jukumu la kuwalinda watoto wao ni la nani? Au mabomu ya Israel yanawalenga watoto tu wakubwa yanawakwepa? Au Hamas kwa kuwa ni Magaidi wanawatumia kama Kinga (Human-Shield)? Au mnawatumia wanawake na watoto ili mpate huruma kutoka Jumuia za ki mataifa?
 
Ni kweli wayahudi wanawatemea mate wakristo na ni utamaduni wao, kama unabisha pita Tel Aviv umevaa msalaba, halafu pita karibu na nyumba zao za ibada utakuja kusimulia...
Mimi mwenyewe sasa hivi nipo huku hakuna kitu kama hicho mnadanganyana tu huko na kujazana chuki zisizo na maana toka mwezi wa nne mimi Niko huku natarajia tu kurudi June 08,2025. Sema tu mmejazwa chuki na Wafuga Midevu na Majini wa huko nyumbani.

Huku tunatembea kila mahali hakuna wa kutubughuzi mpaka tuliingia kwenye limusikiti lenu la Al-Agsa ambalo litakuja kubomolewa!!!
Huku sehemu hatari sana kutembelea ni maeneo ya waarabu huko ni hatari sana vibaka wako wengi sana na ni wabaguzi wa kutupwa!!!!
 

Attachments

  • v09044g40000d001dinog65ji2ktk45g.mp4
    33.7 MB
  • v09044g40000d00muhvog65ndctr8vj0.mp4
    20.3 MB
  • v09044g40000d001i77og65tpmf5ooeg.mp4
    20.6 MB
Hao hawanihusu na Maarabu nayo hayanihusu mimi natoa taarifa. Imani yangu haikuhusu. Magaidi wawe wanauawa tu wakiwa Dini au Kabila lolote. Ni kuwawahisha tu jehanamu
Waweza kutoa 'definition' inayokubaliwa na UN ya neno 'gaidi'?
 
Mimi mwenyewe sasa hivi nipo huku hakuna kitu kama hicho mnadanganyana tu huko na kujazana chuki zisizo na maana toka mwezi wa nne mimi Niko huku natarajia tu kurudi June 08,2025. Sema tu mmejazwa chuki na Wafuga Midevu na Majini wa huko nyumbani.

Huku tunatembea kila mahali hakuna wa kutubughuzi mpaka tuliingia kwenye limusikiti lenu la Al-Agsa ambalo litakuja kubomolewa!!!
Huku sehemu hatari sana kutembelea ni maeneo ya waarabu huko ni hatari sana vibaka wako wengi sana na ni wabaguzi wa kutupwa!!!!
Mwongo, mdini mkubwa wee. Wee uko kwenye 'guided tour' utajuaje? Watu wanazungumza logic hapa siyo udini wa kijinga.
 
Mimi mwenyewe sasa hivi nipo huku hakuna kitu kama hicho mnadanganyana tu huko na kujazana chuki zisizo na maana toka mwezi wa nne mimi Niko huku natarajia tu kurudi June 08,2025. Sema tu mmejazwa chuki na Wafuga Midevu na Majini wa huko nyumbani.

Huku tunatembea kila mahali hakuna wa kutubughuzi mpaka tuliingia kwenye limusikiti lenu la Al-Agsa ambalo litakuja kubomolewa!!!
Huku sehemu hatari sana kutembelea ni maeneo ya waarabu huko ni hatari sana vibaka wako wengi sana na ni wabaguzi wa kutupwa!!!!

Safi sana. Hawa Kobazi huwa wanatafuta faraja kwa shida sana.
 
Mimi mwenyewe sasa hivi nipo huku hakuna kitu kama hicho mnadanganyana tu huko na kujazana chuki zisizo na maana toka mwezi wa nne mimi Niko huku natarajia tu kurudi June 08,2025. Sema tu mmejazwa chuki na Wafuga Midevu na Majini wa huko nyumbani.

Huku tunatembea kila mahali hakuna wa kutubughuzi mpaka tuliingia kwenye limusikiti lenu la Al-Agsa ambalo litakuja kubomolewa!!!
Huku sehemu hatari sana kutembelea ni maeneo ya waarabu huko ni hatari sana vibaka wako wengi sana na ni wabaguzi wa kutupwa!!!!
Nyie kama mambwa kwa wayahudi ,mnawashobokea tu 🤣🤣🤣...Wanawaona kama mambwa
 
Back
Top Bottom