juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,449
Mkuu ccm haijawai kuongea ukweli,,kila kitu ni waongo hawa watu..wafuasi wao ni viziwi na vipofu.hawajui kuchambua mambo wao kila kitu wanapiga makofi..ipo siku ccm itasema nyerere alikufa 2007 na wafuasi wao watakubali na kushangilia