watanzania tuwe macho na viongozi ambao wapo tayari kuingia ikulu kwa kukanyaga damu zetu, viongozi wanaochochea vurugu ili tu wapate kutimiza malengo yao ya kisiasa tuwaepuke viongozi wa namna ni hatari kwa taifa letu, amani ikitoweka wao huondoka na familia zao nje ya nchi na kutuachia vurugu, tunataka mabadiliko kwa njia ya Amani. Mpenda Amani.