Princemwalejr
JF-Expert Member
- Nov 9, 2017
- 496
- 488
Walichoshtakiwa hawa vijana waliolawitiana kwenye mahakama nzuri na wanasheria wazuri hakuna kesi hapo.
Kwani walitoboa tundu mpya? Ile tundu ni maumbile. Wawashitaki kuingiliana kinyume na utaratibu. Mpaka wakibadilisha vitabu vya sheria jamaa wamesevu.
Ubora wa wanasiasa na watunga sheria huonekana katika kurekebisha makosa ya aina hii. Ukizingatia hii kesi si ya kawaida na hukumu yake wengi hatukuijua kabla. Ni kesi ya kufanyia vigezo vya kesi zijazo za aina hii.
Kwani walitoboa tundu mpya? Ile tundu ni maumbile. Wawashitaki kuingiliana kinyume na utaratibu. Mpaka wakibadilisha vitabu vya sheria jamaa wamesevu.
Ubora wa wanasiasa na watunga sheria huonekana katika kurekebisha makosa ya aina hii. Ukizingatia hii kesi si ya kawaida na hukumu yake wengi hatukuijua kabla. Ni kesi ya kufanyia vigezo vya kesi zijazo za aina hii.