Kinyozi anahitajika

Mama ashura na ungozi wa mwenyumba nisaidie nimpate mpangaji wako, nawasiwasi hata aliyemuandikia barua hii hamjui vizuri!!!!!!
 
teh teh teh, dah dunia inamengi kwakweli... Anway pole chief, ulimuamini chapchap, bt utaratibu wa ajira unaeleweka, details za muajiriwa kwa muajiri wake muhimu(full adress), kama hukufuata hayo basi nawe ni jipu
 
je anashahidi?? Au shahidi ndio barua ya mjumbe?? Maana hawa wajumbe hata ukimpa 2000 ya lunch, anakuchorea
 
teh teh teh, dah dunia inamengi kwakweli... Anway pole chief, ulimuamini chapchap, bt utaratibu wa ajira unaeleweka, details za muajiriwa kwa muajiri wake muhimu(full adress), kama hukufuata hayo basi nawe ni jipu

Kila kitu kipo kama unavyoona hapo sasa mwenyekiti ndiyo nae nataka anioneshe huyo mtu aliyemuandikia kama shayupo mtaani kwake na yeye awajibike kwani atakuwa amepewa rushwa
 
Kila kitu kipo kama unavyoona hapo sasa mwenyekiti ndiyo nae nataka anioneshe huyo mtu aliyemuandikia kama shayupo mtaani kwake na yeye awajibike kwani atakuwa amepewa rushwa
ooh for sure, maana mtu hawezi toroka kirahisi kama taharifa zake ni sahihi
 
ooh for sure, maana mtu hawezi toroka kirahisi kama taharifa zake ni sahihi

kweli kabisa,hili ningeweza kisamehe lakini nawaswasi na barua je ilikuwa halali kwake na kama siyo basi m/kt achukuliwe hatua kuwapa fundisho!!
 
Dahhh! naona mtu huku ashaachiwa manyoya aisee
 
Daaaaaaah! kweli ni kinyozi huyu mkuu, kakunyoa kabisa na madeni Juu!


Anyway pole sana ndugu. Issue hapo hizo particulars zake ni za kweli?
 
Daaaaaaah! kweli ni kinyozi huyu mkuu, kakunyoa kabisa na madeni Juu!


Anyway pole sana ndugu. Issue hapo hizo particulars zake ni za kweli?

Aliyempa barua hiyo naimani anamfahamu zaidi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…