Kinyozi anahitajika dodoma

Kinyozi anahitajika dodoma

Kumbuka umeweka tangazo linaonwa nchi nzima na tangazo halijatosheleza hasa kinyoz atokee wapi,atakaa wapi,atalipwa au atakabidhi kipande,je kaz ni saloon ya kawaida au bbshop?
Mkuu nishatoa maelekezo.anahitajika dodoma.nimesema saloon yan ya kawaida .akipatikana ndo tutajua hayo mengine uliyouliza.
 
Back
Top Bottom