Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 2,892
- 7,555
Wote tunatambua kwamba serikali ina mpango wa kuacha kutumia mafuta kuzalisha Umeme na kuanza kutumia Maji na Gesi asilia ...kama wewe ni mfwatiliaji mzuri basi utakuwa unajua mitambo ya umeme ya Kinyerezi ..mpka sasa iko Miwili amabyo ni
Kinyerezi 1 (150Megawatts)
Kinyerezi 2 (240 Megawatts)
Kuna project nyingine inaitwa Kinyerezi 1 extension itayozalisha 185Megawatts itakayokamilika August mwaka huu ..Mkandarasi ni kampuni ya Jacobsen Electro na CSI
Hio ni youtube link ya channel ya CSI wakionesha maendeleo ya mradi ..28th april 2019
Pia waziri amekagua meadi huu jana
Nafutahi kuona Taifa langu linasonga mbele
Mapendekezo kwa Tanesco ni waongeze ufansi kwenye swala la usambazaji wa umeme..kwasababu umeme upo wa kutosha tatizo ni usambazaji ni mbovu sana ...nguzo zimeoza nyingine
Kinyerezi 1 (150Megawatts)
Kinyerezi 2 (240 Megawatts)
Kuna project nyingine inaitwa Kinyerezi 1 extension itayozalisha 185Megawatts itakayokamilika August mwaka huu ..Mkandarasi ni kampuni ya Jacobsen Electro na CSI
Hio ni youtube link ya channel ya CSI wakionesha maendeleo ya mradi ..28th april 2019
Pia waziri amekagua meadi huu jana
Nafutahi kuona Taifa langu linasonga mbele
Mapendekezo kwa Tanesco ni waongeze ufansi kwenye swala la usambazaji wa umeme..kwasababu umeme upo wa kutosha tatizo ni usambazaji ni mbovu sana ...nguzo zimeoza nyingine