Kisarawe ipo mikono salama.Mwaka 2015 pasipo namna-namna Kingwendu angewakilisha wananchi wa KISARAWE kupitia CUF, mtifuano ulikua mkali haswa
Watanzania wanapenda sana mizaha 😆😆😆
Kama wa Ukraine Yuko Bora inakuaje Kingwendu achemkeKwamba ndiye mgombea bora tuliyeletewa na kilichoitwa ukawa!
Ile game ya 2015 tetesi ni kuwa Ngenduzi alishinda kwa margin kubwa sanaMwaka 2015 pasipo namna-namna Kingwendu angewakilisha wananchi wa KISARAWE kupitia CUF, mtifuano ulikua mkali haswa
View attachment 2488610View attachment 2488618
Ha ha haKingwendu alimgaragaza Yule dogo CCM wakapindua mezaasera yake ilikua ni tajiri hajui shida ya maskini Kwa hiyo wachague maskini mwenzao wanakisarawe walimwelewa Sana
Mwamba karud kwenye SanaaAje Hai uku atusemee wananchi helo helo
Kingwendu usimlinganishe na Taletale. Kingwendu is far betterMwaka 2015 pasipo namna-namna Kingwendu angewakilisha wananchi wa KISARAWE kupitia CUF, mtifuano ulikua mkali haswa. NB: Tofaut na Babutale (aliye pita bila Kupingwa) huyu Kingwendu alipambana mpaka mwisho.
View attachment 2488610View attachment 2488618