Nakumbuka zilikuja tetesi anagombea kupitia CCM nyumbu walicharuka humu ... Baada ya kugundua nI UKAWA sasa anafaa... No wonder slaa leo mnamuona msaliti na lowassa ni mwanamapinduzi
Ninaomba aliye na clips za hotuba za kampeni za Comrade Kingwendu, atupie hapa!
hatari mno. nyie mnajiita wasomi mnaishia kupiga kelele tu sasa hawa jamaa (wasioenda shule) ndio wanaenda kututungia sera bungeni kisha mnakuja kulalamika ooh sheria kandamizi. WASOMI BADILIKENI
hatari mno. nyie mnajiita wasomi mnaishia kupiga kelele tu sasa hawa jamaa (wasioenda shule) ndio wanaenda kututungia sera bungeni kisha mnakuja kulalamika ooh sheria kandamizi. WASOMI BADILIKENI
Hi serikali inayo undwa na chadema sijui ukawa ni JIPU LA UBONGO
hivi kati ya Kingwendu na Lusinde nani mzima wa akili??
Hi serikali inayo undwa na chadema sijui ukawa ni JIPU LA UBONGO
Daaaaah kwa kweli Tanzania tumekosa viongozi hadi akina kingwenduuuuu
Umejuaje hajaenda shule? Weka CV yake uliyo nayo hapa.
Daaaaah kwa kweli Tanzania tumekosa viongozi hadi akina kingwenduuuuu
Kujua kusoma na kuandika inatosha MTU kuwa mbungo duh cc na vidigrii vyetu tunachoma mahindi tu kitaa !!!
Mungu ibariki Tz
Hahahaahahaaaa nimecheka hiyo picha ya pili, huyu jamaa inabidi aache masihara kwani kazi anayofukuzia inahitaji umakini mkubwa sana.
Nakumbuka zilikuja tetesi anagombea kupitia CCM nyumbu walicharuka humu ... Baada ya kugundua nI UKAWA sasa anafaa... No wonder slaa leo mnamuona msaliti na lowassa ni mwanamapinduzi
Peleka upuuzi huko!
Kuna wasomi bungeni for ages lakini hatuoni tofauti.hatari mno. nyie mnajiita wasomi mnaishia kupiga kelele tu sasa hawa jamaa (wasioenda shule) ndio wanaenda kututungia sera bungeni kisha mnakuja kulalamika ooh sheria kandamizi. WASOMI BADILIKENI