Kingwendu ndio chaguo la Kisarawe

Kingwendu ndio chaguo la Kisarawe

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,105
Kama picha inavyojieleza Mhe. Kingwendu mgombea ubunge kupitia CUF akijinadi mbele ya wapiga kura wake. Wanakisarawe kwa kauli moja tumemkubali na tunasubiri tarehe 25 oktoba tukampigie kura za kutosha. Asanteni.
 

Attachments

  • kingwendu1.jpg
    kingwendu1.jpg
    111.9 KB · Views: 2,466
  • ki2ngwendu.JPG
    ki2ngwendu.JPG
    112.3 KB · Views: 2,480
Kiukweli mnatakiwa mumchague huyu sio jafo ambae hua anapita na kuwadanganya wwnanchi kuwa eti atawapa ardhi kwa miaka 5 eti wapo kwenye process kwa kushirikiana na mhuni mmoja hivi dereva wa daladala
 
kwa style ya huyu jamaa nawahakikishia atashinda tena kwa kishindo. niliwahi kufanya nae kazi TBL miaka fulani kabla hajapunguzwa kazi na baadae kuingia kwenye uigizaji. kiuweli hata UKAWA walipaswa kuzunguka nae kwenye kampeni zao mikoani
 
hatari mno. nyie mnajiita wasomi mnaishia kupiga kelele tu sasa hawa jamaa (wasioenda shule) ndio wanaenda kututungia sera bungeni kisha mnakuja kulalamika ooh sheria kandamizi. WASOMI BADILIKENI
 
Daaaaah kwa kweli Tanzania tumekosa viongozi hadi akina kingwenduuuuu
 
Anaweka rekodi ya kuwania ubunge but kwa jinsi ninavyoijua kisarawe yetu hawezi kushinda huyu
 
kwa style ya huyu jamaa nawahakikishia atashinda tena kwa kishindo. niliwahi kufanya nae kazi TBL miaka fulani kabla hajapunguzwa kazi na baadae kuingia kwenye uigizaji. kiuweli hata UKAWA walipaswa kuzunguka nae kwenye kampeni zao mikoani

Ushauri mzuri aiseeeeee, UKAWA please note it down!
 
Haaa! Tuendako kutakuwa kuna hali ngumu kuliko tulikotoka
 
Kama maji mafupi wa Tanga.Hauwezi kushindana na nguvu ya umma.Huyo ni chaguo la watu so hakuna jinsi.
 
hatari mno. nyie mnajiita wasomi mnaishia kupiga kelele tu sasa hawa jamaa (wasioenda shule) ndio wanaenda kututungia sera bungeni kisha mnakuja kulalamika ooh sheria kandamizi. WASOMI BADILIKENI

Umejuaje hajaenda shule? Weka CV yake uliyo nayo hapa.
 
Kujua kusoma na kuandika inatosha MTU kuwa mbungo duh cc na vidigrii vyetu tunachoma mahindi tu kitaa !!!
Mungu ibariki Tz
 
kisarawe imejaa waswahili wengi watamchagua huyo mswahili mwenzao, wananchi hawataki mtu msomi msomi dizaini ya jafo, nakumbuka enzi ya ubunge (ludewa) alikuwepo Prof. Mwalyosi vs. Filikunjombe. Wakati profesa anawaelezea vitu vya kisomi sana, sijui mambo ya makaa ya mawe, chuma cha LIGANGA (wananchi sidhani kama walikuwa wanamuelewa, wakati filikunjombe yeye anatumia lugha nyepesi siku ya kura za maoni prof. akapigwa chini mpaka leo hana hamu. prof karudi zake kupiga chaki UDSM
 
Ht mbumbumbu huitwa mheshimiwa !!!!Tz juuuuuu
 
Nakumbuka zilikuja tetesi anagombea kupitia CCM nyumbu walicharuka humu ... Baada ya kugundua nI UKAWA sasa anafaa... No wonder slaa leo mnamuona msaliti na lowassa ni mwanamapinduzi
 
Back
Top Bottom