suplex city
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 433
- 117
Aliyekuzaa ndiye kenge
Mamako ndio kanizaa
Aliyekuzaa ndiye kenge
Mkuu, nimezungumzia uhalisia. Fuatilia posts zangu utanijua zaidi. Nilichoandika hapo juu hata kama hutakibishia.. wewe kumbuka tu akilini mwako hicho nilichoandika then utaniambia. Ilikuwa kosa kubwa kubwa kumweka Kingwetu kwani anayeshindana naye tayari alishaji-establish tangu msimu uliopita. Ingawa mgawanyo wa majimbo kupitia vyama vilivyomo UKAWA ndo ilichangia, kuna bwana mmoja kupitia CHADEMA alikuwa safi zaidi (jina lake limenitoka) yeye angeweza kumpiga chini Jafu. Bahati mbaya sisi upinzani ikitokea ukasimama katika ukweli popote unashambuliwa.
Ndiyo mnavyokula hela zao siyo ?this is not true, kingwendu atashindwa kwa kura nyingi sana na Selemani Jafo
Umeandika ukweli ambao wengi hawaujui .na watu hawajui kwamba jamaa ni mhasibu by pro
Sidhani kama amehama. Jimbo liligawanyakwahiyo ilikuwa lazima achague ni lipi la kugombea kati ya hayo mawili.Hivi kwanini mnyika kahama jimbo ambalo alikuwa nalo mkononi? Nawakubali wabunge wa upinzani but I'm curious about that.Kura yangu ya ubunge ni kwa JULIUS MTATIRO.
Hizi ndizo habari za uzushi ambazo hazijengi. Mimi ni UKAWA, lakini nilichukia sana KINGWENDU kupewa nafasi hiyo ya kugombea jimbo hilo la Kisarawe. Kamwe Kingwendu hawezi ku-compete na Selemani Jafu. Kingwendu anapiga kampeni akisema "mpeni kura Jafu, zitakazobaki msinisahau na mimi" Very stupid! Hataweza kupata kura hata zaidi ya 10% ya zote kwa mtazamo wangu. Tumelipoteza jimbo kipumbavu
Ww unaumwa au mzima
yupo cufYupo chama gani?
Hapa ndio unapojichanganya. Hao chadema si ni ukawa na ubunge watampigia kingwendu wa cuf ama unataka kusemaje yanMkuu, nimezungumzia uhalisia. Fuatilia posts zangu utanijua zaidi. Nilichoandika hapo juu hata kama hutakibishia.. wewe kumbuka tu akilini mwako hicho nilichoandika then utaniambia. Ilikuwa kosa kubwa kubwa kumweka Kingwetu kwani anayeshindana naye tayari alishaji-establish tangu msimu uliopita. Ingawa mgawanyo wa majimbo kupitia vyama vilivyomo UKAWA ndo ilichangia, kuna bwana mmoja kupitia CHADEMA alikuwa safi zaidi (jina lake limenitoka) yeye angeweza kumpiga chini Jafu. Bahati mbaya sisi upinzani ikitokea ukasimama katika ukweli popote unashambuliwa.
unajidhalilisha hapa kwa faida ya nani ? Hivi unakijua kiwango cha elimu cha kingwendu ? Unamdharau kwa vile anaigiza ?
Kingwendu ana diploma ya uhasibu TIA sio chizi