Mbunge huyu wa Nzega amekiri bungeni kuwa wananchi wa mkoa wa Tabora wote huwa wanaichagua CCM, jambo hili linawakera CHADEMA na kuwafanya waende Tabora kuwahadaa wana-Tabora kuwa, nanukuu, "CCM inawaasi na hawatafanya chochote kwani wanajua hata iweje ni lazima muichague CCM."
Hapa bwana Kingwangwala alikuwa akimtahadhalisha Dr Mwakyembe afanye kazi kwani hataki jimbo lake na Tabora ichukuliwe na wapinzani hasa CHADEMA, na zaidi ya yote na maelezo yote aliyoyatoa, amekataa kuunga mkono hoja ya wizara ya uchukuzi.
Hapa bwana Kingwangwala alikuwa akimtahadhalisha Dr Mwakyembe afanye kazi kwani hataki jimbo lake na Tabora ichukuliwe na wapinzani hasa CHADEMA, na zaidi ya yote na maelezo yote aliyoyatoa, amekataa kuunga mkono hoja ya wizara ya uchukuzi.